Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

*Nimegundua hakuna watanzania wazalendo kama wanywa pombe [emoji481] na wavuta sigara. Kila mwaka tunaongezewa bei lkn wanapokea kwa utii. Wanywa chai juzi bei ya sukari kupanda zogo nchi nzima*[emoji1321]
 
Nywele zangu za uku chini zimekua sasa naziacha zijitegemee

Mi nimezitoa nje zikatembee asubuhi ya leo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji106]
 
Mkeo anakuaga leo anakwenda saloon au kwenye kikao cha kina mama, anaoga anaingia chumbani anaanza kuvaa, anashika chupi ya kwanza anataka kuivaa anaiacha anachagua ya pili anaitazamaa anaiacha pia anaona ya tatu ndo inafaa kisha anavaa, wewe umelala tu kitandani unachat kwenye whatsapp hujiulizi swali "anachagua chupi nzuri ili nani akaione, kama kuna chupi mbaya kwenye list si azitupe anunue mpya".
Anakuaga anaondoka na wewe unamwambia poa mchana mwema wasalimie uko town, halafu ukiitwa fala unakuja juu eti "ooh mi mtoto wa mjini nimezaliwa Ocean Road".⁠

Matako yako [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
*[emoji117]Braza.....*
Ushawahi kukutana na mwanamke anakwambia anasomaga Chuo halafu anakutumia text inasomeka hivi....
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
"Za hasubui Lichadi,Humehamkaje, nirikuwa nakusalimiha tu hafya vipi?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisse Elimu haijawahi mwacha MTU salama...[emoji3][emoji3].
 
Kuna mama mmoja mume wake alikua akimtesa sana kwa kubadilisha michepuko, akaamua kwenda kwa mganga, mganga alimpa yule mama dawa za kila aina bila mafanikio, basi mganga nae akaona mwanaume kboko hapa nimeshindwa ila jinsi ya kumwambia bibie nimeshindwa hakumtamkia bali alimwambia amlete koboko ili wamtengenezee dawa. Yule mganga akiwa na hakika mwanamama hawezi kumkamata huyo nyoka. Bibie alianza kuzungukia mashimo ya nyoka porin moja baada ya jingine, na alifankiwa kumkamata koboko kwa kuweka unga katika chungu na koboko alipoingia ndani ya chungu alkifunika na kumpelekea mganga. Mganga hakuamin alipofunua chungu na alikimbia sana huku akimtukana yule mama, akisema kama umeweza kukamata koboko, mumeo anakushindwaje?

[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mchizi maskani baada ya kuvuta sana bangi na marafiki zake akaamua kuingia ndani kwake, kufika ndani kavua nguo zote na kujicheki kwenye kioo, akajiona kavaa bonge la suti[emoji38] [emoji38] akatoka hadi maskani na kuwauliza machizi wenzake "Oya wana vp hii suti imenikaaje?"
Mmoja akamjibu "mwana suti imekukaa kinoma, sema tai umefunga chini sana"
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nimepita hospitali nikakuta daktari anamwambia msichana kuwa papuchi yake inakutu kwa kuwa anabania sana ndio maana anakojoa mkojo wa njano hapa nipo nasubiri atoke nijichukulie maana nina uhakika.... Sipishanagi na papuchi mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…