Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
- Thread starter
- #241
Usiku wa mabingwa hewa, mabingwa wa kuchora......[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimeungwa ktk grp la Arsenal fans wameniuliza nilianza lini kushabikia arsenal....
Nikasema tangu ule mwaka tuliobeba champions league.....
Saa hizi naona kila message nikituma naambiwa, you can no longer send messages to this group
Nadhani wanataka kuniweka niwe Admin [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Nimeungwa ktk grp la Arsenal fans wameniuliza nilianza lini kushabikia arsenal....
Nikasema tangu ule mwaka tuliobeba champions league.....
Saa hizi naona kila message nikituma naambiwa, you can no longer send messages to this group
Nadhani wanataka kuniweka niwe Admin [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]