kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,946
- 5,470
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii ndio iliyo nicheki shaka kuliko ya mtoa madakwa kifupi unataka tujue kuwa na wewe unaweza badili rangi za maandishi,huna lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii ndio iliyo nicheki shaka kuliko ya mtoa madakwa kifupi unataka tujue kuwa na wewe unaweza badili rangi za maandishi,huna lolote
Sasa si umesema wenye Stress wapite hapa, mpe nyingine labda atacheka na kumwondolea msongoHilo umeona ni jambo la kujivunia?
Utakuwa una msongo wewe, ...
Hii mpya ngoja nikajaribu kwenye ka group flani maana wanajifanyaga wapo biiiizeKuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Mnh, ndo kichekesho auNipo na kaka yangu hapa kwenye swimming pool ya nyumbani tunashindana kubana pumzi ndani ya maji lakini Mimi nilitoka punde tu baada ya sekunde kumi baada ya kuingia lakini kaka yangu ni saa la tano hili naona tu amelala Kifudifudi chini kwenye sakafu la swimming pool ndani ya maji kwa kweli kaka yangu huwa hakubali kushindwa na pia mwili wake naona kama unapelekwa maji vile nadhani ananionesha staili tofauti tofauti akitoka na Mimi ntamwambia anifundishe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi kumbe na chenyewe ni kifaa
Walioelewa wamelike kama hujaelewa pita pembeni.Mnh, ndo kichekesho au
Sasa ww tutakuongeza kwenye list ya bwana yule haiwezi boots mm mjinga! mwenyeweHii ngoma imenibamba jo[emoji4][emoji4]
[emoji666] [emoji820]──────── 03.40
Kuna mjinga kajaribu kuplay[emoji23][emoji23][emoji23]
Soon utajakutana na msg, you can't send msg in this group, your no longer a participant!!....
Nimezipenda bidhaa dhako. Upo wap?Kama utakipenda kimoja njoo PM tuzungumze biashara
1. Freezer aina ya Boss Tsh250000. Haina mlango wa mtungi wa gesi
.
2. Feni ya chini Tsh 15000/=. Inawaka kwa machale.. yaeza kukaa hadi masaa 2 haijaanza kuzunguka
,
3. Pasi ya umeme aina ya Phillips. Tsh 12000/=, haishiki moto kabisa hata ikae nusu saa kwny umeme na kidude cha kuregulate moto kimeharbika..
4. Meza ya plastic Tsh 75000/= ina miguu 3 na mmoja mfupi kidg.
5. Vikombe vya udongo Dozen 1 Tsh 25000/= ila vilipata ajali kidg.. vimekatika mikono na vingne vimetoboka chini
6.Redio ya caset lkini haina transiforma bei 34000
7.Flat scren bei 50000 kioo kimepasuka na haina rimot control na batan zime haribika fasta nichek [emoji41]
8.Simu aina ya Sumsung s7 edge 470000/= ilidondokea kwenye maji ikapiga shot, kitufe cha kuwashia hakipo na hata ukiweka kingine haiwaki, ni simu nzuri bora na ya kisasa!
9.Kamera aina ya sony mp 16 bei 62500/= haina lens, ni mbovu hata mafundi hawaitaki kama spea.
10.Bajaji aina ya tvs, bei 1400000/= haina matairi, viti wala usukani! Imetumika miaka 8 na inadaiwa kodi ya miaka 2!
Karibuni, bidhaa ni nyingi sana, zipo za aina tofauti tofauti kama magari, ndege, treni, meli, maparashuti, vifaru, n.k vyote hivyo vikiwa katika hali mbaya sana, (ikumbukwe hizi ni toys za watoto zilizotumika huko uswahilini na kutupwa kwenye majalala)
Mala kama mitungi ya fire extinguisher[emoji23] [emoji23] [emoji23] cheka saaaaanasiku ya valentine day hua napenda kutumia muda wangu kuwaangalia mademu wafupi waliovaa red dresses maana hua nawafananisha na kimtungi cha ORYX
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Ha ha ha ha ha ha ha ha,ha ha mpumbafu sana wewe