Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,635
- 4,411
Shida ya demu mfupi ukirudi unakuta
kakufulia vizuri tu,,,,
Lakini hajaanikaa!!!
kakufulia vizuri tu,,,,
Lakini hajaanikaa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]siku ya valentine day hua napenda kutumia muda wangu kuwaangalia mademu wafupi waliovaa red dresses maana hua nawafananisha na kimtungi cha ORYX
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Hii kali aisee.Hujapotea kwani wewe huna stress..?
------------------------------
nimemtembelea,rafiki yangu mida ya saa saba hivi na tayari alikuwa amesonga ugali nikamtuma nje wakati anatoka nje nikaongeza maji kwenye sufuria kumbe sikujuwa alipima maji kulingana na unga uliobaki sasa hivi tunakunywa uji hatuongeleshani .
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kumbe_wote_hatupendangi_ujinga!
Mkuu kuwa na huruma angalau sema unawafananisha na ule mtungi mkubwa!siku ya valentine day hua napenda kutumia muda wangu kuwaangalia mademu wafupi waliovaa red dresses maana hua nawafananisha na kimtungi cha ORYX
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Jamaa wanashindana ujinga🙂🙂🙂[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Nyie watu mtanifanya nionekane chizi. Lol
Kwa bosi utapeleka nini mkuuTulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka kupanda
Konda- bibi twende sit kibao ata utalala
Bibi - oooh sawa mjukuu
Konda - simama tu apo wanashuka mbele
Bibi - akacheka sana tu
Konda- mbona unacheka bibi
Bibi - mjukuu hawa wote hawashuki wanakufa apo mbele
Watu- simamisha gar
Saiv bibi kabaki mwenyewe amelala sit ya nyuma..mi napga gia tu ctk mchezo na konda.
Duuh jaman..![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji86] [emoji86]Leo nimechoka zangu alafu shangazi
amekuja anataka nimuunganishe [HASHTAG]#facebook[/HASHTAG] . Imebidi nimwambie
lazima awe na picha [HASHTAG]#passport[/HASHTAG] size 4 kwaajili ya kuweka profile picture, barua
kutoka kwa afisa mtendaji na Atm card ya
nmb bank. Alafu awe na marefa wanne
ambao wamekuwa facebook for more than 3
years. Amesema hataki tena kujiunga fb! *Saa ivi niko zangu nimelala naendelea
kupunguza uchovu*
Mkuu utakua umekurupuka na stress zako..![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Tuondolee huu ujinga hapa. Hujui majukwaa ya biashara
Dah [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwanangu umenikamata!!!!Hii ngoma imenibamba jo[emoji4][emoji4]
[emoji666] [emoji820]──────── 03.40
Kuna mjinga kajaribu kuplay[emoji23][emoji23][emoji23]