Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

NILIKUWA KATIKA MGAHAWA NAKULA,
SOON NAMUONA X WANGU ANAMUOMBA
MSAMAHA MUUZA CHAKULA
NDIPO NILIPOMUITA MUUZAJI NA
KUMUULIZA KUNA NINI???
YULE MUUZAJI KANIAMBIA YULE DADA KALA CHIPS KUKU KASHINDWA KULIPA
SASA ANAMUOMBA AKAMENYE VIAZI.
NDIPO NIKAINGIA MFUKONI NA KUMPA
ELFU 25 YULE MUUZAJI AKANUNUE GUNIA
LINGINE LA VIAZI

***MIMI SIPENDAGI UJINGA si bora hata angekuka chipsi kavu
 
Hujapotea kwani wewe huna stress..?
------------------------------
nimemtembelea,rafiki yangu mida ya saa saba hivi na tayari alikuwa amesonga ugali nikamtuma nje wakati anatoka nje nikaongeza maji kwenye sufuria kumbe sikujuwa alipima maji kulingana na unga uliobaki sasa hivi tunakunywa uji hatuongeleshani .
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kumbe_wote_hatupendangi_ujinga!
Hii kali aisee.
 
HAYA SIO MAPENZI MUBASHARA NI KUTIANA AIBU DEMU WA KITANGA KANIWEKEA HILIKI, MDALASINI NA KARAFUU KWENYE MAJI YA KUOGA NJIA NZIMA NANUKIA PILAU[emoji23][emoji23][emoji23]

mabinti wa kitanga Mungu anawaonaa!
 
Tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka kupanda

Konda- bibi twende sit kibao ata utalala

Bibi - oooh sawa mjukuu

Konda - simama tu apo wanashuka mbele

Bibi - akacheka sana tu

Konda- mbona unacheka bibi

Bibi - mjukuu hawa wote hawashuki wanakufa apo mbele

Watu- simamisha gar

Saiv bibi kabaki mwenyewe amelala sit ya nyuma..mi napga gia tu ctk mchezo na konda.
Kwa bosi utapeleka nini mkuu
 
Leo nimechoka zangu alafu shangazi
amekuja anataka nimuunganishe [HASHTAG]#facebook[/HASHTAG] . Imebidi nimwambie
lazima awe na picha [HASHTAG]#passport[/HASHTAG] size 4 kwaajili ya kuweka profile picture, barua
kutoka kwa afisa mtendaji na Atm card ya
nmb bank. Alafu awe na marefa wanne
ambao wamekuwa facebook for more than 3
years. Amesema hataki tena kujiunga fb! *Saa ivi niko zangu nimelala naendelea
kupunguza uchovu*
Duuh jaman..![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji86] [emoji86]
 
Umeshawahi kwenda kwenye harusi halafu Dj akawa anaplay
mziki,wakati huo mziki uko sauti ya juu sana halafu unaongea na rafki
yako kwa sautiii ili akusikie, mara Dj
anazima gafla mziki huku
unapayuka halafu inakukuta
unapayuka "Bibi arusi mbayaa"
halafu umekaa nyuma ya meza ya
wazazi wake...
[emoji1][emoji1]

Hapo ndio utajuakuwa kiwembe na kisu vinakata lakini havina diwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom