Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kuwa typing error mkuu si unajua mambo ya autocorrect jamaa alimtumia bosi wake bado umelalwa kilicho mpata mpaka Leo bado anatembea name bahasha ya kakiMgful ni kinywaji kwani...[emoji4] [emoji4]
Acha kudandia treni kwa mbele, Soma kwanzaTuondolee huu ujinga hapa. Hujui majukwaa ya biashara
Wa pm mods.uwaelezee ttz lakoMsaaada..... kuchange user name jamii forum.....
Sorry for interu[emoji56]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namwambia tuu nilitaka kutoka njeUmeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama hukushiba ungesema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenifanya nikachungulie jikoni,Hebu jaribu kumuona docta akupime stress, lazima zitakuwa zimepungua 89.99872% siyo kucheka huko..[emoji1] [emoji1]
=====================================
Hapa home leo wameniuliza ntaoa lini na umri umeenda, nikawajibu ntaoa umri ukirudi!
Sahizi niko mezani sioni chakula, I think leo tumefunga[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]akili yangu naijua mwenyewe[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Daaaaaah,ndugu tuonee huruma mbavu zetuLeo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
wala sijawahi vutaga bangi Mimi
Khaaa,nenda na vitafunwa kabisa!Mwalimu kaniulizaa kama mtoto mdogo anaitwa mchanga... Je mtu mkubwa anaitwaje? ... Nikamjibu anaitwa kokoto..... Ameniitaa staff room labda atakuwa ameniitia chai
Huyu mwalimu ana roho nzuri sio kama mwl Msigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]