Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!
Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja"[emoji196][emoji196] mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.
Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
I think nakaribia kupona
Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. [emoji19]Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..
Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji12] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] chaa
😀😀😀😀😀😀😀Rafik angu kachora tatoo ya jina la dem wake juzi... leo kaskia dem wake anaolewa nipo nae apa tunasubiri pasi ipate moto...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
jana nmetoka kuangalia movie ya kivita,na mm nkajiona kama nmeshakua stering vle..nkachkua mwiko nkatokea nao barabaran nkasimamisha difenda la FFU nkawauliza mnatoka wapi na mnaenda wap?
Hadi sasa hivi nupo kitandan napewa matibabu, @@@AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE!!!ahaaaa
Daaah acha nicheke mie [emoji23] [emoji23]Mkuu kuwa na huruma angalau sema unawafananisha na ule mtungi mkubwa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Leo nimeenda mahakamani, mara judge
akasema..
Order! Order...
Mimi na kiherehere changu nikasema..
Chapati .. Maziwa na ovacado tatu ...
Nimewekwa kwa karoom kengine hapa kanagiza..
i think wananiandalia chapati
Kuna mwezio eti hakusikia sauti kajaribu kuunganisha na sabuufa! 🙂🙂🙂Dah [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwanangu umenikamata!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwanafunzi wa kike wa form 3 kaniuliza swali eti kwa nini sperm ni nyeupe? Nlipoona sina upepo kulijibu nkamgeukia nkamuuliza ulizionea wapi ww mwanafunzi !? [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
saiz kesi ipo ofic kuu staki ujinga mmimi!!
[emoji485] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Umeshawahi kwenda kwenye harusi halafu Dj akawa anaplay
mziki,wakati huo mziki uko sauti ya juu sana halafu unaongea na rafki
yako kwa sautiii ili akusikie, mara Dj
anazima gafla mziki huku
unapayuka halafu inakukuta
unapayuka "Bibi arusi mbayaa"
halafu umekaa nyuma ya meza ya
wazazi wake...
[emoji1][emoji1]
Hapo ndio utajuakuwa kiwembe na kisu vinakata lakini havina diwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]