msondomba
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,895
- 2,410
Nimecheka mpaka bas*BREAKING NEWS*
```Kesho inatolewa list ya wadada ambao zaman walikuwa weusi ila saiv weupeeeee```
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka mpaka bas*BREAKING NEWS*
```Kesho inatolewa list ya wadada ambao zaman walikuwa weusi ila saiv weupeeeee```
Utaelewa mtihani ukikaribia mkuu[emoji23] [emoji23]sijaelewa
NotedUtaelewa mtihani ukikaribia mkuu[emoji23] [emoji23]
aise we unaroho kama mtu mmoja aliyeomba achorwe vzr na kipanyaNILIKUWA KATIKA MGAHAWA NAKULA,
SOON NAMUONA X WANGU ANAMUOMBA
MSAMAHA MUUZA CHAKULA
NDIPO NILIPOMUITA MUUZAJI NA
KUMUULIZA KUNA NINI???
YULE MUUZAJI KANIAMBIA YULE DADA KALA CHIPS KUKU KASHINDWA KULIPA
SASA ANAMUOMBA AKAMENYE VIAZI.
NDIPO NIKAINGIA MFUKONI NA KUMPA
ELFU 25 YULE MUUZAJI AKANUNUE GUNIA
LINGINE LA VIAZI
Full stressssssssssssssssssssssssStress ni nini
Stress ni pale upo kuelekea kazini kwa bahati mrembo anakuomba lift
na bahati mbaya hali yake inabadilika unamkimbiza hospital, baada ya muda doctor anatoka anakwambia hongera, unajiuliza hongera ya nini ana kwambia mkeo ana mimba una tahamaki na kumwambia doctor huyu sio mke wangu lakini kale kadada kwa sauti ya nyororo kanamwambia doctor ni mimba yake, unapanic doctor anakwambia hebu njoo nikupime baada ya mida doctor anatoka anakwambia ni kweli mimba sio yako unashusha pumzi lakini anakwambia nilivyokupima nimegundua huna uwezo wa kudharisha unapatwa na mshitiko na kupata na big stress na kufikiria kama sina uwezo wa kudharisha wale watoto watatu nilio nao ni wa nani.!!?
Nyokooo mxiiiiiuuuuGirl : hie luv
Boy : im gud and u
Girl : guess wat?
Boy : wat?
Girl : Tues iz the 14th
Boy : yah I know
Gil : OMG! u remembered!
Boy : yes its Barca vs PSG I cant wait...
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akivaa nguo nyekundu kama leo siku ya valantine akusimama kwa mbaali unaweza sema ni kibanda cha m_pesaShida ya demu mfupi ukirudi unakuta
kakufulia vizuri tu,,,,
Lakini hajaanikaa!!!
Nitaacha ukiacha ujingaAcha hizo naniiiii...!![emoji54]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii imenipunguzia stressBasi utaondoka na stress..!
Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zote!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Future [emoji289]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asante kwa kuniongezea siku za kuishjana nmetoka kuangalia movie ya kivita,na mm nkajiona kama nmeshakua stering vle..nkachkua mwiko nkatokea nao barabaran nkasimamisha difenda la FFU nkawauliza mnatoka wapi na mnaenda wap?
Hadi sasa hivi nupo kitandan napewa matibabu, @@@AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE!!!!...
Hahaha cpendagi ujingaaise we unaroho kama mtu mmoja aliyeomba achorwe vzr na kipanya
Haha! Mimi pia na yako ndio ilikuwa ya mwishoKimasihara nimejikuta nasoma post zote za uzi huu mpaka nilipo post !!
Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
wala sijawahi vutaga bangi Mimi
Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
siku ya valentine day hua napenda kutumia muda wangu kuwaangalia mademu wafupi waliovaa red dresses maana hua nawafananisha na kimtungi cha ORYX
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]