Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

NILIKUWA KATIKA MGAHAWA NAKULA,
SOON NAMUONA X WANGU ANAMUOMBA
MSAMAHA MUUZA CHAKULA
NDIPO NILIPOMUITA MUUZAJI NA
KUMUULIZA KUNA NINI???
YULE MUUZAJI KANIAMBIA YULE DADA KALA CHIPS KUKU KASHINDWA KULIPA
SASA ANAMUOMBA AKAMENYE VIAZI.
NDIPO NIKAINGIA MFUKONI NA KUMPA
ELFU 25 YULE MUUZAJI AKANUNUE GUNIA
LINGINE LA VIAZI
aise we unaroho kama mtu mmoja aliyeomba achorwe vzr na kipanya
 
Stress ni nini

Stress ni pale upo kuelekea kazini kwa bahati mrembo anakuomba lift
na bahati mbaya hali yake inabadilika unamkimbiza hospital, baada ya muda doctor anatoka anakwambia hongera, unajiuliza hongera ya nini ana kwambia mkeo ana mimba una tahamaki na kumwambia doctor huyu sio mke wangu lakini kale kadada kwa sauti ya nyororo kanamwambia doctor ni mimba yake, unapanic doctor anakwambia hebu njoo nikupime baada ya mida doctor anatoka anakwambia ni kweli mimba sio yako unashusha pumzi lakini anakwambia nilivyokupima nimegundua huna uwezo wa kudharisha unapatwa na mshitiko na kupata na big stress na kufikiria kama sina uwezo wa kudharisha wale watoto watatu nilio nao ni wa nani.!!?
Full stressssssssssssssssssssssss
 
Girl : hie luv
Boy : im gud and u
Girl : guess wat?
Boy : wat?
Girl : Tues iz the 14th
Boy : yah I know
Gil : OMG! u remembered!
Boy : yes its Barca vs PSG I cant wait...

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyokooo mxiiiiiuuuu
 
Basi utaondoka na stress..!

Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zote!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Future [emoji289]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii imenipunguzia stress
 
jana nmetoka kuangalia movie ya kivita,na mm nkajiona kama nmeshakua stering vle..nkachkua mwiko nkatokea nao barabaran nkasimamisha difenda la FFU nkawauliza mnatoka wapi na mnaenda wap?
Hadi sasa hivi nupo kitandan napewa matibabu, @@@AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE!!!!...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asante kwa kuniongezea siku za kuish
 
Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

wala sijawahi vutaga bangi Mimi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
siku ya valentine day hua napenda kutumia muda wangu kuwaangalia mademu wafupi waliovaa red dresses maana hua nawafananisha na kimtungi cha ORYX
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Girl: Baby ,Can you speak Italian, German or French? coz you really like watching their games so attentively.
Boy:Yeah Babe I understand Everything!
Girl:Mmmmh, can you speak a little so that I can hear?
Boy: Sure Yes..."Neymar Pele Totti Messi Ancelotti Del Piero Gonzalo Dybala..Arbeloa Maldini Di Natale Konte Atletico."
Girl: Waoooow...what does it mean???
Boy: In all days of my life, You will always be the only one in ma heart.
Girl: Uuuh babe soo sweet, Thank you ...I love you so Much...
Boy: Ngolo Kante Pogba.
Girl: Mmhh...And what does that mean??!
Boy:Means..I love you too.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom