[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] mungu anakuona ujue,kwa kifupi unataka tujue kuwa na wewe unaweza badili rangi za maandishi,huna lolote
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] nidai hera ya Amarura joh umeua hatariiEx wangu leo kaupdate status yake ya watsap et "NILIOTEMBEA NAO WOTE[emoji39]MKAPIME[emoji19]"[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Saizi nipo apa pa fundi nguo pana foleni sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Harusi sijui lini anapenda kushtukiza sana[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Okay, kumbe unaielewa hali yako!
Karibu..
Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji... Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.
Sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi. Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure.
Daah, hebu fanya hako kamchakato mkuu, maana nina kiu hatari!! na huu mkasa wa jana tena daah, yaani ilikuwa hivi;[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] nidai hera ya Amarura joh umeua hatarii
Ha ha ha ha....Daah, hebu fanya hako kamchakato mkuu, maana nina kiu hatari!! na huu mkasa wa jana tena daah, yaani ilikuwa hivi;
Eti jana usiku mwizi kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabidi na mimi niamke; nikamuuliza anatafuta nini akanijibu HELA ndipo nilipoanza na mie kutafuta nae maana hata hela ya kula Jana sikuanayo alichoka nami nikachoka maana tulipekua kweli kweli; ikabidi nimuulize "una uhakika uliweka humu?" Akashangaa akabaki mdomo wazi!
[emoji15][emoji15][emoji15]
mha ha ha aa du umejibu ya wadada wembambaWadada wa nene na wafupi wakivaa magauni mekundu wananakuwa kama mabanda ya M-pesa.
[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Daah, hebu fanya hako kamchakato mkuu, maana nina kiu hatari!! na huu mkasa wa jana tena daah, yaani ilikuwa hivi;
Eti jana usiku mwizi kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabidi na mimi niamke; nikamuuliza anatafuta nini akanijibu HELA ndipo nilipoanza na mie kutafuta nae maana hata hela ya kula Jana sikuanayo alichoka nami nikachoka maana tulipekua kweli kweli; ikabidi nimuulize "una uhakika uliweka humu?" Akashangaa akabaki mdomo wazi!
[emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Daah, hebu fanya hako kamchakato mkuu, maana nina kiu hatari!! na huu mkasa wa jana tena daah, yaani ilikuwa hivi;
Eti jana usiku mwizi kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabidi na mimi niamke; nikamuuliza anatafuta nini akanijibu HELA ndipo nilipoanza na mie kutafuta nae maana hata hela ya kula Jana sikuanayo alichoka nami nikachoka maana tulipekua kweli kweli; ikabidi nimuulize "una uhakika uliweka humu?" Akashangaa akabaki mdomo wazi!
[emoji15][emoji15][emoji15]
Karibuni Urambo Tabora tulipe Kodi
kwa Pamoja Kodi ya "Tanzania REVENGE Authority" [emoji113][emoji113]