Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

JE WAJUA KUWA VIAZI VITAM HUONGEZA
HAMU YA KUFANYA MAPENZI NA KUSAIDIA
KUCHELEWA KUFIKA KILELE?

JINSI YA
KUTUMIA

(1) Chukua viazi vitamu vyembamba
vyenye rangi nyekundu

(2) usivimenye bali vioshe na uvichemshe kama vilivyo ... Hakikisha vimeiva na uviepue.

(3) Hakikisha unakula na maganda bila kutumia
kinywaji chochote!!

(4) Baada ya hapo tambua kuwa mapenzi ni hisia zako hivyo umejifunza kupika viazi vitamu na siyo tiba maana macho yalikutoka. kama una tatizo hilo muone Doctor.

(5) Usijione mpuuzi utakuwa umejifunza kitu si kila tiba unataka kujaribu
utakunywa Sumu mbwa wewe...[emoji23][emoji23]
 
Mtoto: Mama kila nikikuuliza katkat ya miguu ya baba kuna nini hunijib sasa leo nimechunguza mpk nimejua
Mama:Mh?....
Mtoto:Kuna mswaki
Mama:hahahhah nani kakwambia
Mtoto:Nimemwona dada wambura kapiga magoti anasugua meno yake baba akiwa amesimama nikaingia dada c akageuka bac mdomo wote ulikuwa umejaa daw ya mswaki hadi ikawa inatoka nje
**************************************************
Usicheke mazishi ya huyo housegirl ni ijumaa
 
UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nani sijuw atamgomea mwenzake hapo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewaza nini wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Viashiria vya mwanamke kufika kileleni*



1.kama amevaa gauni litapeperuka kwa upepo

2.kama hajavaa koti ataanza kutetemeka

3.akiangalia chini ataona nyumba kama sisimizi

[emoji23]kupanda mlima yahitaji Moyo Sana [emoji23][emoji23][emoji23]nakuambia we Endelea tu kuwaza Ujinga ujinga ‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂
 
Aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Umenivunja mbavu,
Skku 1 jamaa alichezwa hiyo game,hivi

Aliomba mwanamke jiran issue huyo mma kamtonya mke wa jamaa,masaa yamefika maeneo wakakutana,yule mk akadai anarudi home akajipange kutoa nguo na kujiweka sawa zaidi,kumbe ndipo mkanda unabadirishwa kwenye DVD,kurud akarud amejifunga kanga vzr,,,,jamaa na kiwewe hakuchunguza na hali ya giz kjijin,akapalamia dude,we...baada ya muda ndipo jamaa akaanza zake,,,huuumm mama fulani aisee tamu kweli kweli,,,,gafla bin vuuu akaulizwa mme wangu kbe nakuwaga mtamu tukiwa kichakami ???


Kuchunguza si mke wake !!!!


Kma ingekuwa ww ungejibu nini ?
Na ungeendeleza gemu mpaka umalize ? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona stori yako sijailewa [emoji20] [emoji20] [emoji20]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii hatar mkuu
ety mwalimu ana roho nzuri,
so baada ya kwenda alikukirimia
[emoji15] [emoji12]

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji23]

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23] [emoji23]
 
Jameni kuna watu duniani wachekeshaji saana,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…