Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

JE WAJUA KUWA VIAZI VITAM HUONGEZA
HAMU YA KUFANYA MAPENZI NA KUSAIDIA
KUCHELEWA KUFIKA KILELE?

JINSI YA
KUTUMIA

(1) Chukua viazi vitamu vyembamba
vyenye rangi nyekundu

(2) usivimenye bali vioshe na uvichemshe kama vilivyo ... Hakikisha vimeiva na uviepue.

(3) Hakikisha unakula na maganda bila kutumia
kinywaji chochote!!

(4) Baada ya hapo tambua kuwa mapenzi ni hisia zako hivyo umejifunza kupika viazi vitamu na siyo tiba maana macho yalikutoka. kama una tatizo hilo muone Doctor.

(5) Usijione mpuuzi utakuwa umejifunza kitu si kila tiba unataka kujaribu
utakunywa Sumu mbwa wewe...[emoji23][emoji23]
 
Mtoto: Mama kila nikikuuliza katkat ya miguu ya baba kuna nini hunijib sasa leo nimechunguza mpk nimejua
Mama:Mh?....
Mtoto:Kuna mswaki
Mama:hahahhah nani kakwambia
Mtoto:Nimemwona dada wambura kapiga magoti anasugua meno yake baba akiwa amesimama nikaingia dada c akageuka bac mdomo wote ulikuwa umejaa daw ya mswaki hadi ikawa inatoka nje
**************************************************
Usicheke mazishi ya huyo housegirl ni ijumaa
 
UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.
 
UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nani sijuw atamgomea mwenzake hapo
 
UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.
Umewaza nini wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Viashiria vya mwanamke kufika kileleni*



1.kama amevaa gauni litapeperuka kwa upepo

2.kama hajavaa koti ataanza kutetemeka

3.akiangalia chini ataona nyumba kama sisimizi

[emoji23]kupanda mlima yahitaji Moyo Sana [emoji23][emoji23][emoji23]nakuambia we Endelea tu kuwaza Ujinga ujinga ‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂
 
UMEMUAGA mkeo unaenda kazini, ukapita kwa mchepuko wako, wakati unajimwaya-mwaya na mchepuko, mume wa mchepuko akagonga mlango, ikabidi ufichwe uvunguni mwa kitanda. Wakati bado upo uvunguni ka mchepuko kakamuaga mume wake kwamba, kanaenda saloon, mume wa ka-mchepuko naye akaona ndo muda wa kuita mchepuko wake, akauita ukaja, wakajimwayamwaya kwa sana muda huo wee bado upo uvunguni. Mara mchepuko wako akarudi kutoka saloon, akagonga mlango, ikabidi mume wa mchepuko wako aufiche uvunguni mchepuko wake. Kucheki hivi kumbe mchepuko wenyewe ndo mke wako uliyemuaga unaenda kazini, kwa hiyo wewe na mke wako wote mkawa mmefichwa uvunguni...Ukisikia vita ya tatu ya dunia, ndo hii sasa.
Aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Umenivunja mbavu,
Skku 1 jamaa alichezwa hiyo game,hivi

Aliomba mwanamke jiran issue huyo mma kamtonya mke wa jamaa,masaa yamefika maeneo wakakutana,yule mk akadai anarudi home akajipange kutoa nguo na kujiweka sawa zaidi,kumbe ndipo mkanda unabadirishwa kwenye DVD,kurud akarud amejifunga kanga vzr,,,,jamaa na kiwewe hakuchunguza na hali ya giz kjijin,akapalamia dude,we...baada ya muda ndipo jamaa akaanza zake,,,huuumm mama fulani aisee tamu kweli kweli,,,,gafla bin vuuu akaulizwa mme wangu kbe nakuwaga mtamu tukiwa kichakami ???


Kuchunguza si mke wake !!!!


Kma ingekuwa ww ungejibu nini ?
Na ungeendeleza gemu mpaka umalize ? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Umenivunja mbavu,
Skku 1 jamaa alichezwa hiyo game,hivi

Aliomba mwanamke jiran issue huyo mma kamtonya mke wa jamaa,masaa yamefika maeneo wakakutana,yule mk akadai anarudi home akajipange kutoa nguo na kujiweka sawa zaidi,kumbe ndipo mkanda unabadirishwa kwenye DVD,kurud akarud amejifunga kanga vzr,,,,jamaa na kiwewe hakuchunguza na hali ya giz kjijin,akapalamia dude,we...baada ya muda ndipo jamaa akaanza zake,,,huuumm mama fulani aisee tamu kweli kweli,,,,gafla bin vuuu akaulizwa mme wangu kbe nakuwaga mtamu tukiwa kichakami ???


Kuchunguza si mke wake !!!!


Kma ingekuwa ww ungejibu nini ?
Na ungeendeleza gemu mpaka umalize ? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona stori yako sijailewa [emoji20] [emoji20] [emoji20]
 
Mwalimu kaniulizaa kama mtoto mdogo anaitwa mchanga... Je mtu mkubwa anaitwaje? ... Nikamjibu anaitwa kokoto..... Ameniitaa staff room labda atakuwa ameniitia chai

Huyu mwalimu ana roho nzuri sio kama mwl Msigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii hatar mkuu
ety mwalimu ana roho nzuri,
so baada ya kwenda alikukirimia
[emoji15] [emoji12]

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Stress ni nini

Stress ni pale upo kuelekea kazini kwa bahati mrembo anakuomba lift
na bahati mbaya hali yake inabadilika unamkimbiza hospital, baada ya muda doctor anatoka anakwambia hongera, unajiuliza hongera ya nini ana kwambia mkeo ana mimba una tahamaki na kumwambia doctor huyu sio mke wangu lakini kale kadada kwa sauti ya nyororo kanamwambia doctor ni mimba yake, unapanic doctor anakwambia hebu njoo nikupime baada ya mida doctor anatoka anakwambia ni kweli mimba sio yako unashusha pumzi lakini anakwambia nilivyokupima nimegundua huna uwezo wa kudharisha unapatwa na mshitiko na kupata na big stress na kufikiria kama sina uwezo wa kudharisha wale watoto watatu nilio nao ni wa nani.!!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji23]

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Umenivunja mbavu,
Skku 1 jamaa alichezwa hiyo game,hivi

Aliomba mwanamke jiran issue huyo mma kamtonya mke wa jamaa,masaa yamefika maeneo wakakutana,yule mk akadai anarudi home akajipange kutoa nguo na kujiweka sawa zaidi,kumbe ndipo mkanda unabadirishwa kwenye DVD,kurud akarud amejifunga kanga vzr,,,,jamaa na kiwewe hakuchunguza na hali ya giz kjijin,akapalamia dude,we...baada ya muda ndipo jamaa akaanza zake,,,huuumm mama fulani aisee tamu kweli kweli,,,,gafla bin vuuu akaulizwa mme wangu kbe nakuwaga mtamu tukiwa kichakami ???


Kuchunguza si mke wake !!!!


Kma ingekuwa ww ungejibu nini ?
Na ungeendeleza gemu mpaka umalize ? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23]
 
*Viashiria vya mwanamke kufika kileleni*



1.kama amevaa gauni litapeperuka kwa upepo

2.kama hajavaa koti ataanza kutetemeka

3.akiangalia chini ataona nyumba kama sisimizi

[emoji23]kupanda mlima yahitaji Moyo Sana [emoji23][emoji23][emoji23]nakuambia we Endelea tu kuwaza Ujinga ujinga ‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂
Jameni kuna watu duniani wachekeshaji saana,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom