Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Uwe unaeleweka na ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mambo ya majaaliwa tena hayo hebu waza kama ingekuwa tunaazimana viungo ingekuwaje maana wenye mihogo wangesumbuliwa sana na vibamia siku ana game au mwenye nyonyo zilizo lala ingekuwaje kwa wenye chuchu toboa (saa sita )duh sijui nawaza nini!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio mambo ya majaaliwa tena hayo hebu waza kama ingekuwa tunaazimana viungo ingekuwaje maana wenye mihogo wangesumbuliwa sana na vibamia siku ana game au mwenye nyonyo zilizo lala ingekuwaje kwa wenye chuchu toboa (saa sita )duh sijui nawaza nini!

hahaaaaaa
 
Mwanaume wa Kweli ni Nani?

Mwanamume wa ukweli ni yule ambaye anatangulia HOTELINI kwanza na kumuambia Mhudumu wa Hoteli Nikija na MCHEPUKO wangu, nikiulizia Kuna Chakula gani sema "imebaki Chai na Maandazi tu."[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah huu ushamba sio kabisa leo nimepanda gari naenda kibaha nipo njiana mm najua nashuka hospitali hata sijui hospitali gani
Konda akachukua nauli kabla hajarudisha chenj akaniuliza unaenda kibaha nikamjibu ndio
Akuliza tena unashuka maili moja
Nkasema sijui ni maili ngapi maana mm huku mgen na sijui vipimo
Nashukur alinielewa bhna akankrudishia chenj

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…