Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

fcbf4f4bf1cd35c1b220649d6b790a8c.jpg


Jamii Forums mobile app
 
Aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Umenivunja mbavu,
Skku 1 jamaa alichezwa hiyo game,hivi

Aliomba mwanamke jiran issue huyo mma kamtonya mke wa jamaa,masaa yamefika maeneo wakakutana,yule mk akadai anarudi home akajipange kutoa nguo na kujiweka sawa zaidi,kumbe ndipo mkanda unabadirishwa kwenye DVD,kurud akarud amejifunga kanga vzr,,,,jamaa na kiwewe hakuchunguza na hali ya giz kjijin,akapalamia dude,we...baada ya muda ndipo jamaa akaanza zake,,,huuumm mama fulani aisee tamu kweli kweli,,,,gafla bin vuuu akaulizwa mme wangu kbe nakuwaga mtamu tukiwa kichakami ???


Kuchunguza si mke wake !!!!


Kma ingekuwa ww ungejibu nini ?
Na ungeendeleza gemu mpaka umalize ? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unaeleweka na ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mambo ya majaaliwa tena hayo hebu waza kama ingekuwa tunaazimana viungo ingekuwaje maana wenye mihogo wangesumbuliwa sana na vibamia siku ana game au mwenye nyonyo zilizo lala ingekuwaje kwa wenye chuchu toboa (saa sita )duh sijui nawaza nini!
 
Utoto bado sijaacha..!!

*Nimefika Ubungo stendi ya mabasi wapiga debe wakawa wanasumbua sana wananiuliza naenda wapi, nikajibu ZANZIBAR.*
*Nimewaacha nawasikia wanataja sehemu za siri za binadamu itakuwa wanakumbushana biology*

"Ideas are easy but Implementation is hard."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio mambo ya majaaliwa tena hayo hebu waza kama ingekuwa tunaazimana viungo ingekuwaje maana wenye mihogo wangesumbuliwa sana na vibamia siku ana game au mwenye nyonyo zilizo lala ingekuwaje kwa wenye chuchu toboa (saa sita )duh sijui nawaza nini!

hahaaaaaa
 
Mwanaume wa Kweli ni Nani?

Mwanamume wa ukweli ni yule ambaye anatangulia HOTELINI kwanza na kumuambia Mhudumu wa Hoteli Nikija na MCHEPUKO wangu, nikiulizia Kuna Chakula gani sema "imebaki Chai na Maandazi tu."[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah huu ushamba sio kabisa leo nimepanda gari naenda kibaha nipo njiana mm najua nashuka hospitali hata sijui hospitali gani
Konda akachukua nauli kabla hajarudisha chenj akaniuliza unaenda kibaha nikamjibu ndio
Akuliza tena unashuka maili moja
Nkasema sijui ni maili ngapi maana mm huku mgen na sijui vipimo
Nashukur alinielewa bhna akankrudishia chenj

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom