Kabogo Kabogo
Member
- Jul 23, 2017
- 76
- 37
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji28] kenge mwenyewee*VIJANA WA LEO*
_*Surali 20,000/-*
_*T-shirts 25,000/-*
_*Saa 15,000/-*
_*Simu 450,000/-*
_*Body spray 25,000/-*
_*Sadaka 1000/-*
```Baraka utazisikia tu kwa wenzako.
Kenge wa Ukerewe wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]```
Jamani jamani mbavu zanguJamani mwenye mwiko aniazime nataka kusonga mbele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] fala weweJamani mwenye mwiko aniazime nataka kusonga mbele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaJamani mwenye mwiko aniazime nataka kusonga mbele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoto: Mama kila nikikuuliza katkat ya miguu ya baba kuna nini hunijib sasa leo nimechunguza mpk nimejua
Mama:Mh?....
Mtoto:Kuna mswaki
Mama:hahahhah nani kakwambia
Mtoto:Nimemwona dada wambura kapiga magoti anasugua meno yake baba akiwa amesimama nikaingia dada c akageuka bac mdomo wote ulikuwa umejaa daw ya mswaki hadi ikawa inatoka nje
**************************************************
Usicheke mazishi ya huyo housegirl ni ijumaa
PushView attachment 569884[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app