Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

*WAHENGA WAMEPATA SABABU ZA KULALA NJE*

To my wife

Samahani sana kila nikitoa mguu hapo nje ya ofisi nakuta Nissan nyeupe imepaki. Hvyo leo nalala ofisini.

Mimi mumeo

Mke: Nakuelewa mume wangu hata hapa ofisini kwetu kwa nje naona nissan nyeupe, nimebaki na boss tu sisi pia tunaogopa kutoka nadhani tutalala ofisini pia.
Mume: nakupitia sasa hivi mke wangu lazima tuwe majasiri tukiwaendekeza hawa watu wasiojulikana hawataicha ndoa salama.


[emoji125]
Wanawake wa siku hizi hawatakagi uj...
 
e24a24d03e62436bc0f476b0b67b3c9a.jpg


[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom