Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

kichaa mmoja alijirusha kutoka ghorofa ya tatu mpaka chini,watu wakamuuliza vipii...kichaa akawajibu"mi sijui,ndo kwanza nimefika".

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu Nyerere alienda Mirembe kutembelea wagonjwa wa akili.Alipofika Mirembe akaanza kuwasalimia wale wagonjwa wenye nafuu.
Mwalimu:Unaitwa nani? Vipi hali yako
Mgonjwa😀uh mie naitwa Bunzu hali yangu ni nzuri sanaaaaaa tu.Ila nakuonea huruma wewe maana mimi nilivyo letwa hapa nililetwa na polisi mmoja tu sasa wewe umeletwa na mapolisi wote hawa sijui utatoka lini.
 
Kama ulivyosikia Mpenzi Mtazamaji...Manji ana Chuma kwenye Moyo, Habinder Singh ana Puto tumboni, hivyo ukija kusikia Rugemalila ana Kokoto kwenye Ugoko na Malinzi ana filimbi kwenye ini usishangae.

Saa mbaya hizi usipokuwa makini unaweza kumeza hata "Chemli"

..[emoji41]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
*VITUKO KWENYE DALADALA*
*MZEE; dereva ongeza sauti tumsikilize mwalimu nyerere*
*DEREVA;ungemsikiliza mwalimu wako sahizi ungekuwa na gari lako*

*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sahizi tupo hospital dereva yupo chumba cha wagonjwa mahututi*
Dereva katisha sana
 
Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

wala sijawahi vutaga bangi Mimi
Ama kweli Sio Bang, Bali ni Makinikia
 
[HASHTAG]#Uanaume[/HASHTAG] ni nn?
*uanaume ni ile siku unaenda kutambulishwa na mchumba wako kwao alaf muda wa kuondoka unamuita baba mkwe chemba unamuomba ela ya nauli*
Mamadogo we kiboko japo sina stress nimekuja kuwatembelea tu huku[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
8589834b005ab55367ab155acedf9f93.jpg
 
*Mshahara wako sh. 300,000 unamiliki handbag[emoji162] ya sh. 120,000 viatu[emoji151] vya 140,000 iPhone 5 Toyota Nadia [emoji592][emoji592] umepanga nyumba nzima[emoji536] sh 300,000 kwa mwezi alafu unaenda kanisani [emoji547] kumuomba mungu wakati wewe mwenyewe unatenda miujiza [emoji23][emoji23][emoji23]*

sent from my Brilliant Brain using JamiiForums Mobile app
 
Mke wangu alisajili lain mpya jina la Jenifer Godson bila mimi kujua.
Jana usiku nimerudi home akaniomba elfu 10 akasuke.
Nikajibu cha ten sina, zuia buku 2.
Wakati tumelala, msg ktk simu yangu trii:
"HI MY LOVE".
Kidume nikatoka nje naenda toilet, nikaijibu:
"we nani"
MSG: ni mim Jane Msambwanda".
Kusikia Sambwanda, mshipa wa samsing ukanicheza.
MIMI: Jane Msambwanda wa wap tena?"
MSG: Bwana baby nawe,si pale unapokulaga kila siku?"
MIM: "ooh,kumbe unaitwaga Jenifer, namba yangu umeipata wapi?
MSG: "nimepewa na rafiki yako dj tipwil, nakupenda sana hendsam sema huwa naogopaga kukwambia, ila mi sijiwez juu yako, yaani kila ukija kula, nataman usiondoke, nikwambie yaliyomo moyoni mwangu, nanitesa mwenzio"
MIMI: Jamani pole mpenzi, hata mm nilikuwa nakupenda, yaan kila nikiona hilo tako, nahis mzunguko wa damu kuchange, I luv u 2 honey. MSG: Basi mpenzi ,nikuombe ki2?"
MIMI: aah,sema tu
MSG: naomba elfu 50
MIM: nakutumia sasa ivi"
(NIKATUMA)
MSG: Waaoo asante mume wangu, haya rud ndani tulale, mi mkeo MAMA KIDUKU hapa

[emoji134]‍♂[emoji134]‍♂[emoji134]‍♂

hapo ndo utaukumbuka wimbo wa dunia lukumbalukumba[emoji125][emoji125][emoji125]
Hii kiboko aise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji837]Bill Gates aliandaa usahili mkubwa kwaajili ya kumpata meneja mpya
[emoji837]Wakatokea watahiniwa 5000 na wakawekwa kwenye ukumbi mmoja
[emoji837]Mmoja wa watahiniwa hao ni Onyango, Mkenya anayeishi Marekani
[emoji837]Bill Gates akawashukuru watu wote waliojitokeza, na akasema "Kama kuna mtu hajui programu ya Java tafadhali aondoke"
[emoji837]Watu 2000 wakaondoka
[emoji837]Onyango akawaza "Ni kweli sijui Java lakini nikibakia nitakuwa nimepoteza nini, Ngoja nitajaribu,"
[emoji837]Bill Gates akasema kama kuna mtu hana uzoefu wa kuongoza watu zaidi ya 100 tafadhali ondoka
[emoji837]Watu 2000 wakaondoka
[emoji837]Onyango akawaza "ni kweli sijawahi kuwa kiongozi hata wa mtu mmoja, zaidi ya kujiongoza mwenye lakini nikiendelea kubakia nitakosa nini, je nini kitanitokea
Akabakia tena
[emoji837]Bill Gates akasema" Kama unajijua elimu yako hata Diploma ya utawala huna tafadhali ondoka"

[emoji837]Watu 500 wakaondoka
[emoji837]Onyango akawaza tena "Elimu yangu ni darasa la saba, lakini nikiendelea kubakia nitakosa nini" Akaendelea kubakia ndani ya chumba

[emoji837]Mwishowe Bill Gates akasema "kama hujui lugha ya Serbia kwa ufasaha tafadhali ondoka"

[emoji837]watu 498 wakaondoka
Onyango akiwaza "Hiyo lugha hata kuisikia sijawahi hata Neno moja sijui, la nikibakia nitakosa nini"
akaamua kubakia na akajikuta wamebakia watu wawili tu
[emoji837]Bill Gates akawasogelea na kuwaambia "Hatimae nimewapata watu niliokuwa nawatafuta watu pekee wenye uzoefu na elimu ninayotaka na vile vile Mnajua kuongeza lugha ya Serbia, Tafadhali sitaki kuwasikia mkiongea lugha hiyo maana naichukia

[emoji837]Taratibu kwa uoga Onyango akamnong'oneza Mwezie" Heshima kwako unazo sifa zote hizi hongera kwa kufaulu "

[emoji837]Mwenzake akajibu" sina sifa hata moja nimekomaa tu"

[emoji117]Kumbuka Mungu huwaita watu wasio na sifa kisha huwapa sifa hizo
Tafadhali usikate tamaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lesson learnt-do not quit
 
[emoji837]Bill Gates aliandaa usahili mkubwa kwaajili ya kumpata meneja mpya
[emoji837]Wakatokea watahiniwa 5000 na wakawekwa kwenye ukumbi mmoja
[emoji837]Mmoja wa watahiniwa hao ni Onyango, Mkenya anayeishi Marekani
[emoji837]Bill Gates akawashukuru watu wote waliojitokeza, na akasema "Kama kuna mtu hajui programu ya Java tafadhali aondoke"
[emoji837]Watu 2000 wakaondoka
[emoji837]Onyango akawaza "Ni kweli sijui Java lakini nikibakia nitakuwa nimepoteza nini, Ngoja nitajaribu,"
[emoji837]Bill Gates akasema kama kuna mtu hana uzoefu wa kuongoza watu zaidi ya 100 tafadhali ondoka
[emoji837]Watu 2000 wakaondoka
[emoji837]Onyango akawaza "ni kweli sijawahi kuwa kiongozi hata wa mtu mmoja, zaidi ya kujiongoza mwenye lakini nikiendelea kubakia nitakosa nini, je nini kitanitokea
Akabakia tena
[emoji837]Bill Gates akasema" Kama unajijua elimu yako hata Diploma ya utawala huna tafadhali ondoka"

[emoji837]Watu 500 wakaondoka
[emoji837]Onyango akawaza tena "Elimu yangu ni darasa la saba, lakini nikiendelea kubakia nitakosa nini" Akaendelea kubakia ndani ya chumba

[emoji837]Mwishowe Bill Gates akasema "kama hujui lugha ya Serbia kwa ufasaha tafadhali ondoka"

[emoji837]watu 498 wakaondoka
Onyango akiwaza "Hiyo lugha hata kuisikia sijawahi hata Neno moja sijui, la nikibakia nitakosa nini"
akaamua kubakia na akajikuta wamebakia watu wawili tu
[emoji837]Bill Gates akawasogelea na kuwaambia "Hatimae nimewapata watu niliokuwa nawatafuta watu pekee wenye uzoefu na elimu ninayotaka na vile vile Mnajua kuongeza lugha ya Serbia, Tafadhali sitaki kuwasikia mkiongea lugha hiyo maana naichukia

[emoji837]Taratibu kwa uoga Onyango akamnong'oneza Mwezie" Heshima kwako unazo sifa zote hizi hongera kwa kufaulu "

[emoji837]Mwenzake akajibu" sina sifa hata moja nimekomaa tu"

[emoji117]Kumbuka Mungu huwaita watu wasio na sifa kisha huwapa sifa hizo
Tafadhali usikate tamaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lesson learnt-do not quit
Labda nchi nyingine ila siyo hiii.

SIJUI KESHO.
 
Back
Top Bottom