jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Hivi ukiwa na dear wako af katokelezea bomba siunaweza kumwta tu Bombadia*
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Hivi ukiwa na dear wako af katokelezea bomba siunaweza kumwta tu Bombadia*
[emoji23][emoji28][emoji23][emoji28]
hahahah [emoji23][emoji28][emoji23][emoji28] ndo ubinadamu huo, hpo hata mimi sibishi kwakweri.Hakuna furaha kama kukutana na EX wako akiwa amechoka amewamba kapauka na kila dalili ya kukuomba msaada. Nafsi yako huburudika sana.
Nb :tukivua vazi la UNAFIKI huo ndio ukweli.
hahahaha [emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23] aisee kweri hili jukwaa ni stress remover.....we stable woman weweeUmeelewa tofauti namimi! Hili suala ni la starehe maana halihitaji pupa ni utulivu na privacy iwepo yaan burudaniiii! Hasa kiwe choo safiii kisicho na foleni za hodihodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!
Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja"[emoji196][emoji196] mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.
Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
I think nakaribia kupona
Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. [emoji19]Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..
Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57]
*Hivi ukiwa na dear wako af katokelezea bomba siunaweza kumwta tu Bombadia*
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] labda ugali wa unga wa mchele*.....SITASAHAU.....*
sitasahau siku niliyoondoka nyumbani jioni huku nikiacha wanachambua mchele na kurudi usiku na kukuta ugali.....
So sad[emoji17] [emoji17] [emoji17]
Wasiojulikana [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]*Kupekua Simu ya mumeo au mkeo huko ni kutafuta watu wasiojulikana!!*
[emoji855][emoji855][emoji855][emoji855]
Hapana hao ni watu wasiojulikana..Samahani naomba kuuliza, hivi Nape na Uye ni ndugu?
Ukitunga story iwe na uhalisia kidogo walau 0.003Yuko jamaa mmoja alikuwa maarufu sana mjini anaitwa jiwemoja sababu alizaliwa na Pu.mbu moja.
Alikuwa mkali watu wakimwita jiwemoja.Akatangaza mtu yeyeto atakae niita "jiwemoja"nitamuuwa.
Siku moja msichana anaeitwa"blueBird" kamuona Jiwemoja akamkumbatia halafu Akasema"Jiwemoja "za masiku? Jiwemoja akampeleka porini kafanyanae mapenzi sikuTatu mpaka Bluebird akafa.Habari ikafika mjini Jiwemoja kasema kweli.Baada ya miezi kadhaa ndugu yake Bluebird anaitwa "Yellow Bird" karudi safarini mtu wa kwanza kumuona alikuwa Jiwemoja.
Bila ya kujua Yellow bird akamwita "Jiwemoja mambo?"
Jiwemoja akampeleka msituni kafanya naye mapenzi siku tatu Yellow bird hakufa.Habari ikafika mjini Yellow bird hakuuliwa imekuwaje? Mara Muhenga mmoja akaropoka
"Umeona wapi Jiwemoja likauwa ndege wawili?"