*****[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa kalala kwenye kitanda cha dabo deka halaf ile siti ya juu kulikua na binti kalala huko
Kati kati ya usiku jamaa kapanda kule juu kwa binti taratiiiibu, ile kumgusa tu binti akashtuka na kuuliza, umefata nini huku
Jamaa akajibu nimedondoka
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sijaelewa hapa mkuu..POWERFULL QUOTE OF THE DAY
"Wakati mwingine hautapewa nafasi lazima uitafute mwenyewe"
- Ziane Ndolla -
Ziane Ndolla ni nani? Huyu ni kondakta wa mabasi ya UDA. Sasa rudia na uisome upya......
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndoa ilio acha watu mido mo wazii !!!!/
Bwana harus
Alipo ulizwa unakitu gani kama ishara yaupendo wenu.?
Akafungua zipu akaitoa nakuanza kuingiza kwa mkewe polepole.
Biarus nae akaing'ang'aniza.hadi ikaingia yote bac watu wote pale wakashangilia kwanguvu nakupiga makofi. Kwani wao hawakuamini kwajinsi ambavyo ilikua inaingia ile
PETE YA NDOA .
Sija penda ulicho fikiria.
[emoji23] [emoji23]
Nieleweshe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeielewa
Stress ni nini
Stress ni pale upo kuelekea kazini kwa bahati mrembo anakuomba lift
na bahati mbaya hali yake inabadilika unamkimbiza hospital, baada ya muda doctor anatoka anakwambia hongera, unajiuliza hongera ya nini ana kwambia mkeo ana mimba una tahamaki na kumwambia doctor huyu sio mke wangu lakini kale kadada kwa sauti ya nyororo kanamwambia doctor ni mimba yake, unapanic doctor anakwambia hebu njoo nikupime baada ya mida doctor anatoka anakwambia ni kweli mimba sio yako unashusha pumzi lakini anakwambia nilivyokupima nimegundua huna uwezo wa kudharisha unapatwa na mshitiko na kupata na big stress na kufikiria kama sina uwezo wa kudharisha wale watoto watatu nilio nao ni wa nani.!!?
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!
Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja"[emoji196][emoji196] mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.
Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
I think nakaribia kupona
Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. [emoji19]Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..
Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57]
Mtihani kwakoNieleweshe
Kwan wazungu wote ni waingereza?HADI LEO SIJAPATA JIBU
Kuku wa Kizungu Lakini
Haongei English[emoji1321]
We jamaa kwa kuchekesha unatisha[emoji106] [emoji106] [emoji106]Siku moja kabla ya harusi yako, Bakhresa anakuomba uachane na hiyo harusi ili ufunge ndoa na mtoto wake. Amekuahidi kukupa Bilioni 500 taslimu za kitanzania; UTAFANYAJE?????
Mimi nitakubali sio kwamba napenda sana hela ila kwa sababu napenda kuheshimu wazee tu!!
[emoji23] [emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huku kwetu Kibiti jua likizama wataalamu wa kuogelea huwa tunaenda kuliokoa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] Bangi siachi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]#BREAKING_NEWS!!!
PRESIDENT OF SOUTH AFRICA FINALLY STEPS DOWN:
It has just been announced on SABC, BBC NEWS, eNCA and ANN7 news that President Jacob Zuma who has been president of South Africa for 8 years and recently escaped a vote of no confidence, has finally stepped down.
He stepped down from his car today in front of his office in Pretoria to continue his office task after visiting the Guptas.
Thank you for your attention.
[emoji57] [emoji57] [emoji57]Kuna watu wa aina 5 ni vigumu kuwashauri
Mwanamke aliependa
Mwanaume mwenye hela
Mfuasi wa gwajima
Mwanachama wa ccm
Washambiki wa arsenal
[emoji125][emoji125][emoji125]
Ukimaindi njoo unipige Niko geto
We jemaa aya bangi zitakuuaNilienda kwa mganga wa jadi, baada ya matibabu akawa anadai malipo c ndo nikamuonyesha bima ya afya... Kilichotokea hata mi mwenyewe ckumbuki ila nimejikuta niko Lugalo juu ya bati cjui hata ni nyumba gani ila naona kama wanajeshi kwa chini[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Wenye upeo tu ndo watakao chekahah ha ha, umeua mkuu
Jamii forum kuna watu wana akili mbov sana lol kudondoka gani huko kwa kwenda juu[emoji28] [emoji28] [emoji28]Jamaa kalala kwenye kitanda cha dabo deka halaf ile siti ya juu kulikua na binti kalala huko
Kati kati ya usiku jamaa kapanda kule juu kwa binti taratiiiibu, ile kumgusa tu binti akashtuka na kuuliza, umefata nini huku
Jamaa akajibu nimedondoka
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]