Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Jamaa kalala kwenye kitanda cha dabo deka halaf ile siti ya juu kulikua na binti kalala huko

Kati kati ya usiku jamaa kapanda kule juu kwa binti taratiiiibu, ile kumgusa tu binti akashtuka na kuuliza, umefata nini huku

Jamaa akajibu nimedondoka
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
*****[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndoa ilio acha watu mido mo wazii !!!!/
Bwana harus
Alipo ulizwa unakitu gani kama ishara yaupendo wenu.?
Akafungua zipu akaitoa nakuanza kuingiza kwa mkewe polepole.
Biarus nae akaing'ang'aniza.hadi ikaingia yote bac watu wote pale wakashangilia kwanguvu nakupiga makofi. Kwani wao hawakuamini kwajinsi ambavyo ilikua inaingia ile
PETE YA NDOA .
Sija penda ulicho fikiria.
[emoji23] [emoji23]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Stress ni nini

Stress ni pale upo kuelekea kazini kwa bahati mrembo anakuomba lift
na bahati mbaya hali yake inabadilika unamkimbiza hospital, baada ya muda doctor anatoka anakwambia hongera, unajiuliza hongera ya nini ana kwambia mkeo ana mimba una tahamaki na kumwambia doctor huyu sio mke wangu lakini kale kadada kwa sauti ya nyororo kanamwambia doctor ni mimba yake, unapanic doctor anakwambia hebu njoo nikupime baada ya mida doctor anatoka anakwambia ni kweli mimba sio yako unashusha pumzi lakini anakwambia nilivyokupima nimegundua huna uwezo wa kudharisha unapatwa na mshitiko na kupata na big stress na kufikiria kama sina uwezo wa kudharisha wale watoto watatu nilio nao ni wa nani.!!?
 
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!

Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja"[emoji196][emoji196] mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.

Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
I think nakaribia kupona

Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. [emoji19]Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..

Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57]
 
majamaa wawili walikua wakiangalia taarifa habari,ikaonyeshwa habari ya mtu aliyejirusha kutoka ghorofa ya 10 mpaka chini na kufariki wakati hilo tukio likioneshwa lilivyotokea,ubishi ukaanza.
Don:huyu mtu hawezi kujirusha.
Jon:lazma ajirushe naafariki kama habari inavyosema.
Don:tatizo lako wewe ni mbishi..hivi unafkiri ghorofa 10 ni mchezo ee.
Jon:basi mimi nafunga pesa..asipojirusha nakupa 50000tsh.
Don:haina haja.. wewe funga jiwe..mimi ntakupa 100000tsh kama akijirusha.
jon:sawa.
wote wakatazama kwa makini nini kitakachoendelea na mwisho yule mtu alijirusha na kufariki kama habari ilivyosema.
jon:sasa je..sinilikuambia
don:sawa leo umeniotea(huku akimpa pesa Jon alizo muhaidi).
Jon alimuonea huruma Don nakuamua kufunguka.
Jon:nlikua najua kitakachoendelea,kwasababu hii habari tayari ilishaoneshwa asubuhi kwaio chukua pesa zako.
Don:hapana hata mimi niliiiangalia asubuhi ila sikutarajia kama yule jamaa(marehemu) kama angerudia kuruka tena usiku huu.
 
Pikipiki zingine bana [emoji3] [emoji3]
36800_459746331256_500411256_6594706_1117175_n.jpeg
 
Siku moja kabla ya harusi yako, Bakhresa anakuomba uachane na hiyo harusi ili ufunge ndoa na mtoto wake. Amekuahidi kukupa Bilioni 500 taslimu za kitanzania; UTAFANYAJE?????
Mimi nitakubali sio kwamba napenda sana hela ila kwa sababu napenda kuheshimu wazee tu!!
[emoji23] [emoji23][emoji23]
We jamaa kwa kuchekesha unatisha[emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
#BREAKING_NEWS!!!

PRESIDENT OF SOUTH AFRICA FINALLY STEPS DOWN:

It has just been announced on SABC, BBC NEWS, eNCA and ANN7 news that President Jacob Zuma who has been president of South Africa for 8 years and recently escaped a vote of no confidence, has finally stepped down.
He stepped down from his car today in front of his office in Pretoria to continue his office task after visiting the Guptas.
Thank you for your attention.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna watu wa aina 5 ni vigumu kuwashauri

Mwanamke aliependa

Mwanaume mwenye hela

Mfuasi wa gwajima

Mwanachama wa ccm

Washambiki wa arsenal
[emoji125][emoji125][emoji125]
Ukimaindi njoo unipige Niko geto
[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Nilienda kwa mganga wa jadi, baada ya matibabu akawa anadai malipo c ndo nikamuonyesha bima ya afya... Kilichotokea hata mi mwenyewe ckumbuki ila nimejikuta niko Lugalo juu ya bati cjui hata ni nyumba gani ila naona kama wanajeshi kwa chini[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
We jemaa aya bangi zitakuua
 
Jamaa kalala kwenye kitanda cha dabo deka halaf ile siti ya juu kulikua na binti kalala huko

Kati kati ya usiku jamaa kapanda kule juu kwa binti taratiiiibu, ile kumgusa tu binti akashtuka na kuuliza, umefata nini huku

Jamaa akajibu nimedondoka
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jamii forum kuna watu wana akili mbov sana lol kudondoka gani huko kwa kwenda juu[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Back
Top Bottom