My GodnessMusa aliambiwa avue viatu akanyage moto na alitekeleza bila kunung'unika, wewe unaambiwa uvue nguo tu uje kitandani unakunja sura.
DADA SOMA VITABU VYA MUNGU.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Umekula mshikaki Wa 500 unatenmbea na stick mdomon je siku ukila kuku c utatembea na kun wewe*
Nijuze sijajua maana yakeHii picha nakumbuka imenipigisha sana bakora [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
Hiyo ni noti ya shilingi 200, kipindi hicho nilikuwa nikiagizwa dukani, lazima niichane noti niwatoe hao wavuvi, au upande wa pili kuna chui na wanawe, ilikuwa lazima nichane helaNijuze sijajua maana yake
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hiyo ni noti ya shilingi 200, kipindi hicho nilikuwa nikiagizwa dukani, lazima niichane noti niwatoe hao wavuvi, au upande wa pili kuna chui na wanawe, ilikuwa lazima nichane hela
Ukimkuta jirani yako asubuhi na toothpick mdomoni usidhani ametoka kula nyama[emoji38] [emoji38] pengine kazama uvinza mav*uzi ndio yamegandia kwenye meno[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]*Umekula mshikaki Wa 500 unatenmbea na stick mdomon je siku ukila kuku c utatembea na kun wewe*
Zuzu pombe haachi!Zuzu kaua watu 50 kwa kuwagonga barabarani. Cheki alivyokuwa akihojiwa na trafiki:-
Traffic: Imekuaje ukaua watu wote hawa?
Zuzu: Nilikuwa spidi ghafla
nikaona watu wengi kushoto na mmoja kulia wewe traffic ungefanyaje?
Traffic: Ningemgonga yule mmoja ili kuokoa maisha ya watu wengi
Zuzu: Hivyo ndivyo nilivyokusudia lakini nilipotaka kumgonga yule
mmoja akakimbilia kwa watu
wengi akadhani sijamwona
nikamfuata huko huko!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hapo ndio ameachaZuzu pombe haachi!
Nmekuwa chizi ghafla.UTATA NI NINI.?utata ni pale mnapokua mmekaa na MKWEO mpo WAWILI TU..afu AKAJAMBA.!sasa kwa kumuondelea aibu mkweo inabidi useme "MIONGONI MWETU KUNA MTU KAJAMBA"
Jamaa mmoja kaenda kupima malaria nesi akamtoboa ktk kidole damu ikawa haitoki akaanza kukinyonya kidole ilidamu itoke jamaa baada ya kuona nesi anajua kunyonya jamaa:Nesi mkojo pia hautoki.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ukimwacha tu bachela mmoja anamvuta na kujimilikisha!Breaking news...
"Natangaza rasmi kuachana na mke wangu kuunga mkono mabachela kwasababu nimeridhishwa na juhudi zao za kusaka wachumba mtaani"