Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

NDANI ya daladala mtoto mmoja alikuwa akila chocolate. Alipomaliza ya kwanza akatoa ya pili na kula, aliendelea mpaka zilipofika tisa ndipo mzee mmoja aliyeketi jirani yake:
MZEE: Hivi haujui kwamba kula sana chocolate kunaweza kukuharibia meno?
MTOTO: Babu yangu aliishi vizuri kwa miaka 150 kabla hajafa...
MZEE: Aliishi vizuri muda mrefu kwa sababu ya kula sana chocolate?
MTOTO: Hapana, aliishi muda mrefu kwa sababu hakuwa akifatilia mambo yasomuhusu...
 
JE WAJUA? Msuli mrefu kuliko yote kwenye
mwili wa binadamu unaunganisha kope za
macho na sehemu ya kutolea haja kubwa
(anus) ndo mana kila ukijaribu kubana jicho
moja sehemu ya haja kubwa hufunguka bila
kutarajia? nawaona cheki mnavojaribu...m
takuja kunya buree jaman....
siyo kila kitu cha kujaribu ala!
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu umefikiria nini mpaka kuandika hivi?
Nimecheka sana aisee.
 
Nasikia wanasayansi wanasema "sex burns calories and fats"
Nimekaa, nikavuta, nikawaza nikagundua kumbe RICKROSE ni bikira!!!
 
Mwanaume Huvaa Nguo Kwanza
Baada Ya Kuoga, Kisha Unajipaka
Mafuta Zile Sehemu Zinazo Onekana.
Kama Wewe Ni Mwanaume Na Unajipaka
Mafuta Kila Mahali Kabla Ya Kuvaa Nguo...
BASI KEMEA HARAKA HILO PEPO LA..........
BABI [emoji752]
Mwanzoni nimekuelewa ika mwishoni nimeshindwa msaada tafadhali mkuu
 
kha aise nimecheka sna looh😵😵😵😵
 
[emoji28][emoji23][emoji28]
 
hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] kazi ipo
 
Sijaelewa mpaka mida hii
; nimekaa na dada mmoja kwenye daladala wakati anateremka akanikanyaga kwa nguvu nikamuuliza vipi? Kanipa bonge ya sonyo na kuniambia nilidhani bubu mbona muda wote hujaomba hata namba ya simu! Bado natafakariìi
Sikukuu.....kristmass
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…