stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,226
- 5,147
utakuwa unawashwawashwa sio bureHaa haa haaa nimejichekesha tuu hata sijui kilichonichekesha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utani wa ngumiI was in a dream and the red devils were chasing me, immediately I shouted sevilla. They disappeared!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] dah!!!!Wakati natoka Ijumaa, kufika home nikamuuliza mke wangu umeniombea dua gani leo, akajibu "Nimekuombea dua utembelee matako" nikampa kelb mixer vitasa vya maana hadi kupasuka mdomo, eti sahivi ndio ameniambia kuwa aliniombea nipate hela ninunue gari. Dah! Si angeongea hivyo tu![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Utani wa nya nyene huuHawa watu huwa na vipara hujuaje mwisho wa uso wakijiosha? Hii kitu imenisumbua sana
Wewe una utani na malaika mkuu?Huu utani ukiachwa bila hatua za chakubanga utaleta uchochezi.Kesho saa nane ripoti sentero kwa mahojianoUtani wa nya nyene huu
UBAYA WA KUWA MFUPI
Yaani ukimeza mate tu, mkojo unakubana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]