Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Yaani huu umri niliofikia nilifikiri nimeona yote ya duniani kumbe looh bado kabisaa leo si nimekutana na msukuma kachora tattoo ya M-PESA [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Chemistry class in Tanzania kwa kiswahili

"Heliamu na nitrojeni zikikongamana kong'okong'o zasawasha bakshishi ya samawati selusheni iliyo na efevensi..."
This alone will make you drop out of school and become a witch doctor...
Hahahahahaah
 
Mhh kaka,hiyo ngwindi piga mixer....dry wachana nayo kabisa,wa pili kutoka mwisho?
 
mpenzi wako akikuacha bila sababu yeyote chukua simu mpigie mama yake mwambie mwanao amefariki

haiwezekani ulie peke yako watu tushavurugwa

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]​

Hahahaaaaaaaa......!!!!!
You made my day
lazima nifanye hii kitu khaaa....
 
Mvuta Bangi kaposa mtoto wa kike mwembamba sana. Siku ya harusi mama mtu akamzungushia mwanae magazeti aonekane kajazia walau Katako.Harusi ikapita,Muda wakulala jamaa akataka haki ya ndoa.Kumvua nguo akakuta Gazeti kila akichana anakuta gazeti lingine,Akachoka!!akauliza kwa ukali..kwani vipi?Bibi harusi akajibu sijui mama..!!Jamaa akampigia simu mama mkwe...Hallow mama mkwe..Uchi wa mwanao upo Ukurasa ngapi?mama hoi.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukimuona mbwa harusini usimpige mawe wala kumfukuza yawezekana kilichomleta pale ndo kilichokuleta pia

[HASHTAG]#Hamna[/HASHTAG] tofauti
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…