[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] cha kingstone niaje[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125] View attachment 729745
Shwari jombaa, ishu vp?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] cha kingstone niaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada mmoja alikwenda kwenye duka la wanyama kununua kasuku.
mambo yakawa hivi:
DADA: Nimekuja kununua kasuku.
MMILIKI: Nina aina mbili ya kasuku aina ya kwanza anarudia kila kitu unachozungumza na aina ya pili anafikiria mwenyewe kisha anazungumza"
Je ww unamtaka yupi?
DADA: Nadhani namtaka anayefikiria mwenyewe.
(MMILIKI akamletea dada kasuku kulingana na alivochagua kisha akaambiwa amfanyie majaribio.)
DADA: Naonekanaje?
KASUKU: Unaonekana kama kahaba.
DADA: "...kwa hasira..." "Siwezi kununua kasuku kama huyu! Hana adabu!"
MMILIKI: Samahani dada naomba unisubili kidogo.....(akampeleka kasuku nyuma ya duka na kumzamisha kwenye ndoo ya maji kisha akamuonya, "kama ukirudia tena kumkosea adabu yule dada ntakuja nikuloweke kwenye maji siku nzima.
". MMILIKI aliporudi kaunta akamuomba dada amjaribishe kasuku kwa mara nyingine na akamsihi akisema ".kwa sasa unaweza kumuuliza chochote naamini atakujibu vizuri bila matatizo yoyote"
MAJIBIZANO YAKAWA KAMA HIVI:
DADA: Kama nikirudi nyumbani usiku wa manane na nikaja na mwanaume huyo mwanaume atakuwa ni nani?
KASUKU: Mume wako!
DADA: Vizuri! vipi kama nikija na wanaume wawili?
KASUKU: Mume wako & shemeji yako.
DADA: Vzuri! Vizuri sana" kama nikija na wanaume watatu je?
KASUKU: Atakuwa ni mume wako,shemeji yako na kaka yako!
DADA: Waooooooo!!! Vipi kama nikija nyumbani na wanaume wanne?
KASUKU: (Akageuka nyuma akamwangalia miliki wake ) . . . . kisha akasema "Tafadhali kaniloweke kwenye maji, nilishasema mapema kwamba huyu mwanamke ni kahaba!!!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yan vidada vya sikuizi kwa kudeka!! Naimagine ingekua ndo Musa aliambiwa avuke bahari ya sham na vidada vya type hii lazma tu vingemchelewesha
Vikianza kupiga Selfie zao utasikia "chilling with Musa" "in the middle of the sea* [emoji23][emoji23]
Mkuu umejuaje!?nimekutana nalo leo ikabidi nicheke tuNyie si mmeninyima mwaliko wa kula Pasaka "Mkumbuke Eid haiko mbali" [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Those who are in medical school in which year do you start learning bad handwriting?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Numbi kumbe wewe ni KE[emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Ukichanganya maji ya limao vijiko vitatu, unga wa muhogo nusu kijiko cha chai, maganda ya karanga mbichi zile nyekundu, majivu ya ndizi mshale zilizochomwa, mafuta ya mkia wa kondoo, unga wa njiti za viberiti, robo kikombe cha mkia wa pweza, na tui la nazi, unavyosoma kwa makini..... [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] mi hata sijui ukichanganya unapata nini, we endelea tu usiwaze ujinga! [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]