Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

.....Juzi nilimnunulia wife vile vichupi vyenye Kamba(Bikini)

Basi unaambiwa kuna siku nimetoka zangu bar kupata Yale mambo ya kikubwa(beer), Ile nimefika home ilikua almost 5:30pm
Nikamkuta wife amelala kifudifudi huku amevaa kale kachupi!!
Basi acha nianze kucheka mpaka wife akaamka

Wife: Vipi baba anduje mbona unacheka?

Mimi: Acha tu mke wangu yaani tangu nizaliwe sijawahi ona matak** yamevaa ndala....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
haha hahahaha....
.Aiseeee
 
Girl: Baby ,Can you speak Italian, German or French? coz you really like watching their games so attentively.
Boy:Yeah Babe I understand Everything!
Girl:Mmmmh, can you speak a little so that I can hear?
Boy: Sure Yes..."Neymar Pele Totti Messi Ancelotti Del Piero Gonzalo Dybala..Arbeloa Maldini Di Natale Konte Atletico."
Girl: Waoooow...what does it mean???
Boy: In all days of my life, You will always be the only one in ma heart.
Girl: Uuuh babe soo sweet, Thank you ...I love you so Much...
Boy: Ngolo Kante Pogba.
Girl: Mmhh...And what does that mean??!
Boy:Means..I love you too.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha hahahhaa.... daaaahh mamaee wallahi
 
,
1d3421978b30a606bc60db78e875a883.jpg
Ha hahahah
 
Ngoja tukumbushie stori ya kaka jambadhi.

Abiria wa basi wakiwa safarini ghafla walitekwa na majambazi wenye silaha!
Baada kupekuliwa na kuvuliwa nguo zote majambazi wakawaamrisha wajamiiane yaani kila abiria amgeukie mwenzake na kumtafuna!
Katika siti ya watu wawili walikuwa wamekaa shoga na shehe!
Shehe akamwambia shoga sasa mi tajifanya kama naingiza lakini napitisha upande!
Walivyoanza tuu
Shoga akaita kwa nguvuuu
Kaka jambadhi huyu anaingiza pembeni
 
Ngoja tukumbushie stori ya kaka jambadhi.

Abiria wa basi wakiwa safarini ghafla walitekwa na majambazi wenye silaha!
Baada kupekuliwa na kuvuliwa nguo zote majambazi wakawaamrisha wajamiiane yaani kila abiria amgeukie mwenzake na kumtafuna!
Katika siti ya watu wawili walikuwa wamekaa shoga na shehe!
Shehe akamwambia shoga sasa mi tajifanya kama naingiza lakini napitisha upande!
Walivyoanza tuu
Shoga akaita kwa nguvuuu
Kaka jambadhi huyu anaingiza pembeni
daah
 
Ushaai left group ukatami kurudi na huna link. Ni sawa na kwenda msalani alafu utoke kufika nje tena ukahisi kimba linabisha hodi na huna tp, Shida!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom