haha hahahaha.........Juzi nilimnunulia wife vile vichupi vyenye Kamba(Bikini)
Basi unaambiwa kuna siku nimetoka zangu bar kupata Yale mambo ya kikubwa(beer), Ile nimefika home ilikua almost 5:30pm
Nikamkuta wife amelala kifudifudi huku amevaa kale kachupi!!
Basi acha nianze kucheka mpaka wife akaamka
Wife: Vipi baba anduje mbona unacheka?
Mimi: Acha tu mke wangu yaani tangu nizaliwe sijawahi ona matak** yamevaa ndala....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha hahahhaa.... daaaahh mamaee wallahiGirl: Baby ,Can you speak Italian, German or French? coz you really like watching their games so attentively.
Boy:Yeah Babe I understand Everything!
Girl:Mmmmh, can you speak a little so that I can hear?
Boy: Sure Yes..."Neymar Pele Totti Messi Ancelotti Del Piero Gonzalo Dybala..Arbeloa Maldini Di Natale Konte Atletico."
Girl: Waoooow...what does it mean???
Boy: In all days of my life, You will always be the only one in ma heart.
Girl: Uuuh babe soo sweet, Thank you ...I love you so Much...
Boy: Ngolo Kante Pogba.
Girl: Mmhh...And what does that mean??!
Boy:Means..I love you too.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha hahahah
daahNgoja tukumbushie stori ya kaka jambadhi.
Abiria wa basi wakiwa safarini ghafla walitekwa na majambazi wenye silaha!
Baada kupekuliwa na kuvuliwa nguo zote majambazi wakawaamrisha wajamiiane yaani kila abiria amgeukie mwenzake na kumtafuna!
Katika siti ya watu wawili walikuwa wamekaa shoga na shehe!
Shehe akamwambia shoga sasa mi tajifanya kama naingiza lakini napitisha upande!
Walivyoanza tuu
Shoga akaita kwa nguvuuu
Kaka jambadhi huyu anaingiza pembeni
[emoji3][emoji3]NDANI YA BANK"
TELLER: mbona umenipa pesa fake
MKAKA: sasa hapo Shida iko wapi dada pesa ni yangu mimi account ni yangu mimi wewe weka tu haina shida
Unalala na demu mwembamba, usiku unaota unafungua Thermosi ya chai kumbe unamnyonga anakufa[emoji58][emoji58]