*Looku Looku*
*Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi*
_________
1. *Missed calls 16? Umeua betri la simu yangu. Kwa hiyo hata mimi unaweza kuniua... It's Over!!!*
_
2. *Hata hunieshimu. Mi naongea na wewe lakini we upo bize unavuta pumzi? It's over!*
_
3. *Nimekupigia umepokea simu hapohapo. Huna subira. It’s over!!*
_
4. *Nilikwambia huwa napenda chakula cha moto lakini hujanipashia ice cream. Hunijali. It's over!*
_
5. *Nimekupa mayai mawili, moja uchemshe jingine ukaange. We umekaanga ambalo ulitakiwa kuchemsha na umechemsha ulilotakiwa kukaanga. Huniheshimu, It’s over!*
_
6. *Nimekuita DARLING na wewe ukaniita HONEY. Yani kwa maana nyingine unamuita mama yangu NYUKI. Huheshimu wazazi wangu, fungasha kilicho chako. its over.*