Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Unaenda kutambulishwa nyumbani kwa mpenzi wako halafu baadaye unasikia sauti jikoni wanaongea "Umekiona kile kichwa". πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜€
 
Mmiliki wa kiwanda cha chupi alikuwa na wakati mgumu kugundua kwanini kila mara kuna upungufu wa chupi. Wakati wa kutoka kiwandani kila mfanyakazi alipekuliwa na kila kitu kilikuwa sawa. Taratibu zote za uchunguzi, upekuzi na usalama ziliwekwa vizuri kabisa. Wakaguzi wa mahesabu walifanya ukaguzi na kukuta kila kitu kipo sawa na hakuna mfanyakazi aliyekamatwa lkn stock ilizidi kupungua. Staff wote wakati wa kutoka nje ya kiwanda walipokaguliwa walikutwa na chupi moja kila mmoja na hakuna aliyekutwa na zaidi ya chupi moja. Hivyo basi, siku moja dada mpika chai alifikiria NJE YA BOX na kumwambia Boss wake kwanini usiwaambie Askari wakaguzi wawakague staff wote wanapoingia kazini?. Mmiliki wa kiwanda alishikwa na bumbuazi na mshangao ambao hajawahi kuupata maishani alipoambiwa kwamba MENEJIMENTI NA STAFF WOTE HAKUNA HATA MMOJA ALIYEKUTWA KAVAA CHUPIπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜‚. Leo hii dada huyo kapandishwa cheo na kuwa MKUU WA KITENGO CHA UBUNIFU WA KAMPUNI. SOMO:-FANYA VITU TOFAUTI KAMA WATAKA MATOKEO TOFAUTIπŸ‘πŸ‘πŸ’ͺπŸ’ͺ
 
Makosa yako hukuwahi kumueleza linatjumiwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha kumbe unafanyaga hivyo eee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makosa yako hukuwahi kumueleza linatjumiwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu dunia ya sasa nani haujui utamu wa parachichi kwenye juice au kwa kula na ubwabwa. Wanawake tu ndio zao. Maana kuna rafiki yangu ye alinunua mayai kwa ajili ya kuandaa Keki kurudi home kamkuta wife wake amejipaka usoni! [emoji16][emoji16]
Wanawake Mungu anawaona [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waacheni vichaa waitwe vichaa tu maana dah!
Juzi nilikutana na rafiki yangu wa zamani kitambo, akaniuliza kama nishapona uchizi.
Nikamjibu nilikuwa chuo, juzi tu ndio nimemaliza field [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Field = Jalalani

°°ᴱᡛᡉⁿ ᡗʰᡉ α΅α΅‰βΏβ±α΅˜Λ’ ᡃ˒ᡏ˒ ΒΆα΅˜α΅‰Λ’α΅—β±α΅’βΏΛ’Β°Β°
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…