Why do alcohol companies use models 4 their adverts?? Are they ashamed of their real customers??[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Makosa yako hukuwahi kumueleza linatjumiwajeNarudi nyumbani kutoka kwenye pilika zangu za kutwa nimepitia sokoni na kununua parachichi kwa ajili ya kulia na ubwabwa mchana. Kufika home nikaliweka na kwenda kuoga, natoka kuoga ili nile chakula, nakuta mke wangu kaliponda parachichi langu na kujipaka kwenye nywele[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Wanawake Mungu anawaona![emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
"α΅Κ°α΅ αΆ β±Κ³Λ’α΅ Κ³α΅Λ‘α΅ α΅αΆ Κ·α΅Κ³ α΅βΏα΅ α΅α΅Λ’β±βΏα΅Λ’Λ’ β±Λ’ α΅α΅ α΅βΏα΅Κ· ΚΈα΅α΅Κ³ α΅βΏα΅α΅ΚΈ"
Hivi hii tamaduni ya kunusa mkono baada ya kunawa nnya kusikilizia harufu tumeitoa wapi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
"α΅Κ°α΅ αΆ β±Κ³Λ’α΅ Κ³α΅Λ‘α΅ α΅αΆ Κ·α΅Κ³ α΅βΏα΅ α΅α΅Λ’β±βΏα΅Λ’Λ’ β±Λ’ α΅α΅ α΅βΏα΅Κ· ΚΈα΅α΅Κ³ α΅βΏα΅α΅ΚΈ"
HehehehehUkipata mwanamke ambae kila ukitoka unamuuliza nikirudi nikuletee nini ,anakujibu sitaki chochote ila nahitaji urudi salama Usimuache mng'ang'anie Siyo kila siku unatumwa tu chips mpaka unaanza kunukia viazi
Mwanaume anapokuwa na pesa za kutosha, anatamani kuwa na wanawake kama wote Ila mwanamke anapokuwa na pesa za kutosha anajihisi kwamba haitaji mwanaume yeyote wa kumuoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Dear Sisters Kama Unahisi Mwanaume Unae-Date Nae Saiz Hajui Hesabu? ...Ebu Mwambie Una Mimba yake [emoji23][emoji1][emoji16][emoji28][emoji2][emoji23][emoji1]
Hivi mkuu dunia ya sasa nani haujui utamu wa parachichi kwenye juice au kwa kula na ubwabwa. Wanawake tu ndio zao. Maana kuna rafiki yangu ye alinunua mayai kwa ajili ya kuandaa Keki kurudi home kamkuta wife wake amejipaka usoni! [emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] they fear of terrifying them!!
Sina sababu yo yote. Ila ni mtu yule yule. Ile ya mwanzo ulikuwa unaipenda?
Sana yaani, ilibaki kidogo nikuzamie piemuni kujiexpressSina sababu yo yote. Ila ni mtu yule yule. Ile ya mwanzo ulikuwa unaipenda?
Uwiiiii. Basi nitairudisha fasta !!! [emoji16][emoji16][emoji16]