HahahahaUmeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama hukushiba ungesema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀😀😀😀Her: Nisaidie bundle....
Me: *141 * 2354235678435674#
Her: wewe haijaingia
Me: Paka mate
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Period my foot[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1020042
°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti paka mateHer: Nisaidie bundle....
Me: *141 * 2354235678435674#
Her: wewe haijaingia
Me: Paka mate
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
wala sijawahi vutaga bangi Mimi
Mbunye. Slang ya Wakenya nadhani...
😂😂😂😂😂Hakuna haja mkuu endelea na hadithi yako
Simba wamefuta mojaaaÄa\ . Hahahahahaaa instrument used Katika kunyanduanaMbunye. Slang ya Wakenya nadhani...
Na shetwan anapitiaga ghafla kwelikweli.pale unapoamua kutulia na Mpenzi wako muyajenge mahusiano yenu Mara Shetani anatokea anaiba mfuko wa Cement inauma sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]