Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama hukushiba ungesema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha
 
Period my foot[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20190211-071542.jpeg


°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
 
Period my foot[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1020042

°°ᴶᵉᵃˡᵒᵘˢˢʸ ⁱˢ ᵖʳᵒᶜᵉˢˢ ʸᵒᵘ ᵍᵒ ᵗʰʳᵒᵘᵍʰ ᵇᵉᶠᵒʳᵉ ᵇᵉᶜᵒᵐⁱⁿᵍ ᵃ ʷⁱᵗᶜʰ°°
[emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

#WAHUNI SIO WATU WAZURI
 
Tamu
Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

wala sijawahi vutaga bangi Mimi
 
Aibu ni nini?
Aibu ni pale unarudi kazini umechoka sana, kufika nyumbani unafungua mlango na kuingia ndani unafikia sofani unajamba kwanza huku ukiwa umefumba macho, unapofumbua unakutana na sura ya mama mkwe ameketi sofa ya pembeni [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

3x² + 5 + 4x³ - x² + 2x³ + 9
 
Jamaa mmoja alikuwa amekaa zake sebuleni anasoma gazeti ghafla akapigwa frampen usoni na mkewe😂😂 JAMAA: vp tena mke wangu kulikoni😳😳 MKE: kwenye suruali yako wakati najiandaa kuifua nimekuta kikaratasi kimeandikwa "JENNY", unaweza kunieleza huyo JENNY ni nani kwako😬😬 JAMAA: aaah! wiki ilopita nilikuwa kwenye mashndano ya farasi, na Jenny ndo jina alobandikwa farasi wangu yaani farasi wangu aliitwa JENNY😌😌 MKE: sorry darling!👏🏼👏🏼 Siku iliofuata jamaa akiwa amekaa tena kochini huku akisoma gazeti, alishtukia amepigwa tena frampen ya uso "kwaang!" JAMAA: Uwiiiiiii! jamani mke wangu nini tena😪😪😳😳 MKE: farasi wako anakupigia simu😬😬😬
 
MUME: kuna tangazo limetoka mke wangu mwenye watoto 10 anapata zawadi ya gari🚙🚙😄😄 MKE: lakini sisi tuna watoto 8 tu mume wangu😳😳 MUME: samahani sana mke wangu nilihofia kukwambia nina watoto wawili nje ya ndoa naenda kuwachukua ili niongezee😄😄 Baada ya kurudi akakuta mkewe analia🤣🤣 MUME: hee!! Mi nilidhani yameisha kumbe ndio unalia😳😳.!! Na watoto👯‍♂👬 wapo wapi nikajipatie mkoko🚙? MKE: naomba unisamehe mume wangu katika watoto 8 wa kwako ni wawili tu na 6 ni wa daudi kaja kuwachukua ili aongezee🤣🤣 MUME: 😳😳😳😳😳😳😳😳
 
Back
Top Bottom