Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji38]
 
[emoji2]
 
leo paka wangu kanya kwenye unga sasa nimerudi na njaa zangu nikaumua ugali wa maana mara nakutana na mzigo wake...........

NIPO HAPA mezani nakula ugali wangu na yule paka ndio mboga yenyewew😂😂
 
Tanesco wajinga kweli, wamekata umeme!! [emoji44][emoji44]hapa nimetoka nje uchi nimekwenda toilet hakuna aliyeniona!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…