Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,781
- 3,931
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwikojana nmetoka kuangalia movie ya kivita,na mm nkajiona kama nmeshakua stering vle..nkachkua mwiko nkatokea nao barabaran nkasimamisha difenda la FFU nkawauliza mnatoka wapi na mnaenda wap?
Hadi sasa hivi nupo kitandan napewa matibabu, @@@AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE!!!!...