Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

jana nmetoka kuangalia movie ya kivita,na mm nkajiona kama nmeshakua stering vle..nkachkua mwiko nkatokea nao barabaran nkasimamisha difenda la FFU nkawauliza mnatoka wapi na mnaenda wap?
Hadi sasa hivi nupo kitandan napewa matibabu, @@@AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE!!!!...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwiko
 
Leo nimechoka zangu alafu shangazi
amekuja anataka nimuunganishe [HASHTAG]#facebook[/HASHTAG] . Imebidi nimwambie
lazima awe na picha [HASHTAG]#passport[/HASHTAG] size 4 kwaajili ya kuweka profile picture, barua
kutoka kwa afisa mtendaji na Atm card ya
nmb bank. Alafu awe na marefa wanne
ambao wamekuwa facebook for more than 3
years. Amesema hataki tena kujiunga fb! *Saa ivi niko zangu nimelala naendelea
kupunguza uchovu*
 
Leo baba mwenye nyumba alikuja nyumban kwangu mazungumzo yakawa hivi…
Baba: habari za leo kijana
Mimi:safi mzee shikamoo
Baba: marhaba, kijana mbona tarehe zishapita naona kimya
Mimi: vipi uzioni siku zako?

Saivi anatoa vyombo vyangu nje naisi ananisaidia kufanya usafi.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hujapotea kwani wewe huna stress..?
------------------------------
nimemtembelea,rafiki yangu mida ya saa saba hivi na tayari alikuwa amesonga ugali nikamtuma nje wakati anatoka nje nikaongeza maji kwenye sufuria kumbe sikujuwa alipima maji kulingana na unga uliobaki sasa hivi tunakunywa uji hatuongeleshani .
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kumbe_wote_hatupendangi_ujinga!
Mgeni wa mwendokasi wee
 
Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya siku mbili nikapata pesa zaidi ya laki nne hivi, nikaamua kumpa 100,000/= mpenzi wangu bila yeye kuniomba na nilimwambia hiyo afanyie mambo yake madogonadogo.
Baada ya siku 3 akaja kuniambia "Bae, ile 10,000/- niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 3.
SAA HIZI NIPO ZANGU SINGLE NATAFUTA DEM MWINGINE[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom