Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

MUGABE NAE KWA MAJIBU ANATISHA
SWALI:Kwanini wanasiasa wala rushwa hawaendi jela ?

MUGABE! Hii ni sawa na mbu anayeng'ata kwenye pumbu hawezi kupigwa kofi zito.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kicheko nilicho kiachia,nimisha sahau kama taifa lipo kwenye mazishi ya madawa ya kulevya
 
Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

wala sijawahi vutaga bangi Mimi
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii kali sana
 
Nikalale zangu
Mwenye nyumba hapa kaja kunidai hela yake nikamweleza sina hiyo hela kwa sasa anivumilie baada siku mbili tatu, akanuna kwani anadaiwa vikoba,
Ile naingia ndani nikafungua huu uzi nikaachia cheko la maana

Saaa hii naona anaandika kikaratasi chekundu na dalali wangu sijui ananiandikia risiti
 
Nimepitia njia ya police station,, nikaona gari yao imeandikwa 4WD×4WD sasa mimi nikachukua ink pen nikajaza 16W²D² ,, sahiii niko kwa Landrover yao nadhani wananipeleka university kufundisha hesabu[emoji28][emoji28][emoji28]

[HASHTAG]#zotekalikinoma[/HASHTAG]!!
 
Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kweli hapo wangeongea tu
 
Girls wote ambao mnapiga pic na handbag[emoji162] kama mnatoka flani hivi na kumbe upo hom na huna ishu[emoji126] mixer kujipodoa[emoji168][emoji182] after pic mnarud ndani kuvaa t-shirt na kanga mkiendelea na majukum ya hom ikiwemo kuchochea maharage[emoji33]
NAWASALIMIA...[emoji112][emoji112][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah lakini hizi mimba hua zinatunyosha
unakuta mwanamke wako ana mimba, na mmeshinda poa 2 mchana mzima, ikifika usiku kitu ka saa sita ivi anakuamsha,
"Bebi nipeleke petrol station niende kunusa petroli"
Mke wangu kwani unazaa Boda boda????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom