Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kicheko nilicho kiachia,nimisha sahau kama taifa lipo kwenye mazishi ya madawa ya kulevyaMUGABE NAE KWA MAJIBU ANATISHA
SWALI:Kwanini wanasiasa wala rushwa hawaendi jela ?
MUGABE! Hii ni sawa na mbu anayeng'ata kwenye pumbu hawezi kupigwa kofi zito.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii kali sanaLeo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
wala sijawahi vutaga bangi Mimi
Ushuzi....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !!!Daaahhh nimecheka kwa nguvu nusura ushuzi utoke eti mmetoka wap mnaenda wap
Mkuu kweli hapo wangeongea tuKuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
We ndo mjinga kweli mbona inaplay ila sijasikia sauti ngoja nijaribu kuunganisha kwenye bufa. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hii ngoma imenibamba jo[emoji4][emoji4]
[emoji666] [emoji820]──────── 03.40
Kuna mjinga kajaribu kuplay[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah nalia hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maaannaa