SawaSoma tena
Mwenyewe kasema "acha nikae kimya" wewe unamchokoza. Haya bwana.*Dokta wa marekan ajitamba et kuwa alizaliwa mtoto hana miguu 2kamwekea ya bandia sasa ni mwanariadha na ana medali 3 za dhahabu". Dr wa China akasema cc kwe2 alizaliwa mtoto hana mikono 2kamwekea ya bandia sasa ni BONDIA maarufu sana dunian". Dr wa Tz akacheka kwa dharau akasema "hamja2fikia cc, kwe2 alizaliwa mtoto hana mdomo tukamuwekea mdomo wa ng'ombe sasa hivi ni mwimbaji wa kimataifa .....*[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Yoo mbavu zangu jamani....Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!
Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja"[emoji196][emoji196] mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.
Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
I think nakaribia kupona
Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. [emoji19]Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..
Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Dada mmoja alikwenda kwenye duka la wanyama kununua kasuku.
mambo yakawa hivi:
*DADA:* Nimekuja kununua kasuku.
*MMILIKI:* Nina aina mbili ya kasuku aina ya kwanza anarudia kila kitu unachozungumza na aina ya pili anafikiria mwenyewe kisha anazungumza"
Je ww unamtaka yupi?
*DADA:* Nadhani namtaka anayefikiria mwenyewe.
(MMILIKI akamletea dada kasuku kulingana na alivochagua kisha akaambiwa amfanyie majaribio.)
*DADA:* Naonekanaje?
*KASUKU:* Unaonekana kama kahaba.
*DADA:* "...kwa hasira..." "Siwezi kununua kasuku kama huyu! Hana adabu!"
*MMILIKI:* Samahani dada naomba unisubili kidogo.....(akampeleka kasuku nyuma ya duka na kumzamisha kwenye ndoo ya maji kisha akamuonya, "kama ukirudia tena kumkosea adabu yule dada ntakuja nikuloweke kwenye maji siku nzima.
". MMILIKI aliporudi kaunta akamuomba dada amjaribishe kasuku kwa mara nyingine na akamsihi akisema ".kwa sasa unaweza kumuuliza chochote naamini atakujibu vizuri bila matatizo yoyote"
MAJIBIZANO YAKAWA KAMA HIVI:
*DADA:* Kama nikirudi nyumbani usiku wa manane na nikaja na mwanaume huyo mwanaume atakuwa ni nani?
*KASUKU:* Mume wako!
*DADA:* Vizuri! vipi kama nikija na wanaume wawili?
*KASUKU:* Mume wako & shemeji yako.
*DADA:* Vzuri! Vizuri sana" kama nikija na wanaume watatu je?
*KASUKU:* Atakuwa ni mume wako,shemeji yako na kaka yako!
*DADA:* Waooooooo!!! Vipi kama nikija nyumbani na wanaume wanne?
*KASUKU:* (Akageuka nyuma akamwangalia mmiliki wake ) . . . . kisha akasema *"Tafadhali kaniloweke kwenye maji, nilishasema mapema kwamba huyu mwanamke ni kahaba!!!*
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiwe na stress, we endelea kutulia kwenye huu uzi ukilisubiri hapo hotelin mpaka lirudi, urudi dar ukaanze safari upya!...Leo asubui nmetoka zangu dar kwenda kijijini kwetu huko bukoba,njian nkaingia jf kuchek uzi mpya nkakutana na hii KAMA UNA STRESS INGIA HAPA kufika Dodoma basi likaingia hotelini,nmeagiza msosi huku napunguza stress na huu uzi nmekuja zinduka nmebaki mwenyewe nauliza nambiwa basi lina lisaa tangu liondoke
[emoji15] [emoji15] [emoji15]..bado sina stress[emoji32] [emoji32] ila ata hela ya kulipa msosi nlisahau kwenye beg[emoji27] [emoji27]