Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kwenye Group la Whatsapp la tuliomaliza pamoa O-level tuliamua kuulizana tunapofanya kazi;

Wa kwanza: Ninafanya kazi kwenye kiwanda cha vinywaji.
Wa pili: Ninafanya kazi kwenye bank maarufu nchini.
Wa tatu: ninafanya kazi kwenye kampuni maarufu ya mawasiliano Africa.

Baada ya kutafakari nikaona huu sasa ujinga, kila mtu anafanya kazi kwenye kampuni ya maana. Nikatext,

I am working at The Aqua-Thermal Treatment Plant of Ceramics, Aluminium and Steel under constrained environment.

Pumbavu zao, Kumbe nafanya kazi ya kuosha vyombo kwa maji ya moto chini ya usimamizi wa wife.

Mimi ndio Mhaya bwana, sikosagi la kujisifia.
 
Money is evil
Jamaa mmoja karudi mapema kutoka Kazini mpole!
MKEWE: Vipi leo mbona mapema na mpole hivyo?
MUME: Ofisi yetu imeungua Moto na watu wote wamekufa.
MKEWE: Sasa ilikuwaje wewe ukapona?
MUME: Nilikuwa chooni, nje kidogo na ofisi.
MKEWE: Loh maskini familia zao zitakuwaje?
MUME: Watalipwa milioni 200 kila mfiwa.
MKEWE: Akahamaki kwa hasira, "Ona sasa kunyakunya kwako ovyo umetukosesha mihela yote!!
Hebu rudi huko kabla moto haujazimika!....[emoji85][emoji85][emoji125][emoji125]
 
17662005_852921181523972_1256450243872948224_n.jpg
17881041_824325111064982_8771048801617051648_n.jpg
 
*Dokta wa marekan ajitamba et kuwa alizaliwa mtoto hana miguu 2kamwekea ya bandia sasa ni mwanariadha na ana medali 3 za dhahabu". Dr wa China akasema cc kwe2 alizaliwa mtoto hana mikono 2kamwekea ya bandia sasa ni BONDIA maarufu sana dunian". Dr wa Tz akacheka kwa dharau akasema "hamja2fikia cc, kwe2 alizaliwa mtoto hana mdomo tukamuwekea mdomo wa ng'ombe sasa hivi ni mwimbaji wa kimataifa .....*[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mwenyewe kasema "acha nikae kimya" wewe unamchokoza. Haya bwana.
 
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!

Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja"[emoji196][emoji196] mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.


Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
I think nakaribia kupona


Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. [emoji19]Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..


Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57]
Yoo mbavu zangu jamani....
Wewe freyzem ni genius. Japo ni SAA 10 alfajir nimecheka balaa
 
Dada mmoja alikwenda kwenye duka la wanyama kununua kasuku.

mambo yakawa hivi:

*DADA:* Nimekuja kununua kasuku.
*MMILIKI:* Nina aina mbili ya kasuku aina ya kwanza anarudia kila kitu unachozungumza na aina ya pili anafikiria mwenyewe kisha anazungumza"
Je ww unamtaka yupi?

*DADA:* Nadhani namtaka anayefikiria mwenyewe.

(MMILIKI akamletea dada kasuku kulingana na alivochagua kisha akaambiwa amfanyie majaribio.)

*DADA:* Naonekanaje?
*KASUKU:* Unaonekana kama kahaba.
*DADA:* "...kwa hasira..." "Siwezi kununua kasuku kama huyu! Hana adabu!"

*MMILIKI:* Samahani dada naomba unisubili kidogo.....(akampeleka kasuku nyuma ya duka na kumzamisha kwenye ndoo ya maji kisha akamuonya, "kama ukirudia tena kumkosea adabu yule dada ntakuja nikuloweke kwenye maji siku nzima.

". MMILIKI aliporudi kaunta akamuomba dada amjaribishe kasuku kwa mara nyingine na akamsihi akisema ".kwa sasa unaweza kumuuliza chochote naamini atakujibu vizuri bila matatizo yoyote"

MAJIBIZANO YAKAWA KAMA HIVI:
*DADA:* Kama nikirudi nyumbani usiku wa manane na nikaja na mwanaume huyo mwanaume atakuwa ni nani?
*KASUKU:* Mume wako!
*DADA:* Vizuri! vipi kama nikija na wanaume wawili?
*KASUKU:* Mume wako & shemeji yako.
*DADA:* Vzuri! Vizuri sana" kama nikija na wanaume watatu je?
*KASUKU:* Atakuwa ni mume wako,shemeji yako na kaka yako!
*DADA:* Waooooooo!!! Vipi kama nikija nyumbani na wanaume wanne?
*KASUKU:* (Akageuka nyuma akamwangalia mmiliki wake ) . . . . kisha akasema *"Tafadhali kaniloweke kwenye maji, nilishasema mapema kwamba huyu mwanamke ni kahaba!!!*
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkurya kapakia trei za mayai kama 25 kwenye baskeli anatoka Gongo la mboto kufika tazara Trafiki kamsimamisha na kuanza kumuuliza;
Polisi: Umebeba nini?
Mkurya: Mayai Mraaa
Polisi: Mayai ya nani?
Mkurya: Ya kuku Mraaa
Polisi: Yanatoka wapi?
Mkurya: Mraaa, mkunduni kwake mraaa

[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Polisi kaishiwa pozi ikabidi tu amuachie[emoji38] [emoji38] [emoji38]


Wakati mwingine bangi zinasidia[emoji34] [emoji34]
 
Duh kweli hali ngumu..
Jana nlikuwa zangu napita pta kwenye wodi za wagonjwa..nkamkuta mzee mmoja anamwambia mtoto wake alyekuwa yuko hoi"na usijarbu kufa hujui hatuna pesa ya mazshi..
Kweli ankoo umetsha[emoji31] [emoji31] [emoji31]
 
Leo asubui nmetoka zangu dar kwenda kijijini kwetu huko bukoba,njian nkaingia jf kuchek uzi mpya nkakutana na hii KAMA UNA STRESS INGIA HAPA kufika Dodoma basi likaingia hotelini,nmeagiza msosi huku napunguza stress na huu uzi nmekuja zinduka nmebaki mwenyewe nauliza nambiwa basi lina lisaa tangu liondoke
[emoji15] [emoji15] [emoji15]..bado sina stress[emoji32] [emoji32] ila ata hela ya kulipa msosi nlisahau kwenye beg[emoji27] [emoji27]
Usiwe na stress, we endelea kutulia kwenye huu uzi ukilisubiri hapo hotelin mpaka lirudi, urudi dar ukaanze safari upya!...
Nadhani hata abiria wote waliokwenye hilo basi wametulia kwa huu uzi, wakitoa stress huku wakivunja mbavu,[emoji23] [emoji23] [emoji23] wengi watapitiliza vituo!
 
Back
Top Bottom