Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji124] [emoji124] ngoja naludi teh
 
Hahahaaa
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] aisee
Ukiona Mzungu anamfungulia mke wake mlango wa gari ujue ni Mapenzi, Ukiona hili kwa Mbongo Ujue Mlango wa gari Mbovu. ..
 
SIPENDI TABIA HII MIMI

*Hakuna kitu kinachonikera kama mwanaume kumfuata msichana inbox iwe fb whatsapp, inta au jf na kumuomba namba ya simu. Kama wewe ni msichana na unakerwa na hii tabia kama inavyonikera mimi, NITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU INBOX* tujadiliane tuone ni kwa namna gani tunaweza *kulikabili hili tatizo*!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SAIVI NDO NAANZA KUONA UMUHIMU WA MKE WANGU, JANA BAADA YA KUPIKA SI NIKADEKIA MAJI NILIYOOSHEA DAGAA,, SASA CHUMBA KIZIMA KINANUKA KAMA SOKO LA SAMAKI, KUNA MAMA AMEKUJA AMENIULIZA SAMAKI WABICHI WAPO?, SIJAMJIBU AMEAMUA KUONDOKA!
...mke wangu hebu rudi huku yamenishinda!

[emoji124][emoji124]
 
Hahaha
 
Najiuliza hiv msichana akiwa period afu
akakalia meza haiwezi kutokea periodic
table......
Kabisa, tena itakuwa zana nzuri sana ya kufundishia kemia, hasa kwenye periodic classification!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…