Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

*WADADA BHANA, KITANDANI ATACHANUA MIGUU KAMA NINJA ILA KUTANUA MIGUU ARUKE MTARO ANAOGOPA*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
haa haaa haaa we acha tu saiv nimekosana na room mate wangu apa chuo mana azipiti siku mbile lzm nimpige exzile yaana akalale geto kwa machiz
 

Even keyans mnashiriki kwa haka kamchezo eenh
 
Duh! Ungekagua kila mahali.
 
Niliitwa kwenye interview baada ya kukubaliwa maombi yangu ya kazi, nilipofika nilikuwa na furaha sana maana ndoto zangu za kupata ajira ndio zilikuwa zinaenda kutimia, nikaingia moja kwa moja ofisini alipo interviewer akaniambia ''wait please" nikamjibu '65kg' .
Ameniambia nirudi wiki ijayo, nadhani nitaenda kuanza kazi moja kwa moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…