Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,635
- 4,411
Sas umekuj kufany nn kweny uzi wa under 18,,umeitwa!??Hiyo post ni kwaajili ya under 18 maana mimi nikiwa na stress hua nafurahishwa na kucheki soka na kupata Dili jipya
Mmmmmm, nimebaki naitafakari namba maana hisabati ni damu damu, kumbe maana yake ilikuwepo mwishoni.Leo nilienda kuazima chaji kwa jirani ..sikumkuta ..nilimkuta mwanae
Nikamtumia meseji ili atoe ruhusa nichukue
Akanijibu *21002*
Nikawa mkali nikamuambia kuchajia mara moja tu ndio HELA yote hio si bora nikanunue Chaja yangu mpya.
Akaniambia nimesema TUMIA TU
[emoji23][emoji23]mtatuua na lugha zenu[emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuishi Kijijini Inabidi Uwe Mvumilivu... Unaenda Kuoga Unakumbuka Umesaau
Sabuni Unaenda Kuchukua Unarudi Bafuni Unakuta Ng'ombe Kanywa Maji Yote Unaenda Kuchukua Maji Mengine Ile Kurudi Unakuta Mbuzi Kala Sabuni
[emoji15] [emoji15] [emoji15]*Alaf Wale Mademu Wanaowavua Maboy
Wao KOFIA Alaf Wanakimbia Nayo Thinking
Its FUNNY And ROMANTIC*..
*Hiv Nyie Mkivuliwa MAWIGI Tukakimbia
Nayo Mtajiskiaje?*
Makubwa mbona madogo yana nafuu !!!!Leo nilienda kuazima chaji kwa jirani ..sikumkuta ..nilimkuta mwanae
Nikamtumia meseji ili atoe ruhusa nichukue
Akanijibu *21002*
Nikawa mkali nikamuambia kuchajia mara moja tu ndio HELA yote hio si bora nikanunue Chaja yangu mpya.
Akaniambia nimesema TUMIA TU
[emoji23][emoji23]mtatuua na lugha zenu[emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Miaka 53 ya MUUNGANO, Sijawahi kuwa na DEMU wa Kizanzibar, sa huu Muungano una faida gani kwangu?!
[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
[emoji124][emoji124][emoji124]
Namba 7```Wanaume walikuwa kwenye semina wakaulizwa, mara ya mwisho kumwambia mkeo unampenda ni lin? Wengine wakasema leo asubuh, wengine muda sio mrefu. Muwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hivi amuandikie mkewe sms amwambie nakupenda mke wangu halafu badilishaneni simu kila mmoja asome majibu ya mwenzake. Majibu yalikuwa hiv:
1. Unaota au? [emoji102][emoji780]
2. Umekumbwa na nn? [emoji32][emoji780][emoji780]
3. ??!! Makubwa![emoji32][emoji779][emoji779][emoji779]
4. Utanieleza hii sms ulikuwa unamtumia nani[emoji19][emoji36][emoji379][emoji379][emoji779][emoji779]
5. Leo sikusamehi najua kuna kitu.[emoji34][emoji34][emoji19][emoji379][emoji375][emoji378][emoji380]
6. Huyo ulienae ndo kakwambia unitumie hii sms?[emoji19][emoji19][emoji34][emoji779][emoji780][emoji780]
7. Najua tu tayari kuna kitu umeharibu.[emoji19][emoji108]
8. Wewe sema unachotaka.[emoji53][emoji136]
9. Leo hunipati ng'o![emoji135][emoji126][emoji779][emoji779]
10. Nani mwenzangu[emoji15][emoji780][emoji780]
Mwanamke yupi alitisha hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]```
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
_Wivu ukizidi.._
_Guy: babe Uko wapi?_
_Babe: nipo church luv!!_
_Guy: mpe Yesu Simu......._ ..[emoji15][emoji15][emoji849][emoji849][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]