Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2]
 
Matokeo kidato cha nne, div 1 moja, div 2 moja , div 3 Na 4 hakuna, sifuri 200.
Afisa elimu: mkuu wa shule mbona wanafunzi wengi wamefeli
Mkuu wa shule: tumewaandaa wawe wakuu wa Mikoa Na wilaya[emoji125][emoji125][emoji125]
 
We Bado unalalamikia
Et Maisha magum
mala usawa wa magu
Wenzako Tulilijua Hilo mapemaaa
Kuwa maisha yatakujag kuwa magumu ndo maana si Tuliamua kuachana namaisha
Tukaamua kujikita kwenye mish zngne kabsaa[emoji119]


Ndugu zang mso penda ujinga
Tuvumiliane
[emoji124] [emoji124]
 
Matokeo kidato cha nne, div 1 moja, div 2 moja , div 3 Na 4 hakuna, sifuri 200.
Afisa elimu: mkuu wa shule mbona wanafunzi wengi wamefeli
Mkuu wa shule: tumewaandaa wawe wakuu wa Mikoa Na wilaya[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .

Nimecheeeeeka kwa kiherehere pia
 
Sasa Hivi Hata Yale Magari Ya Kuvuta Mavi Wanalia Njaa, Wanasema Biashara Ngumu.
Na Ukiangalia Ni Kweli Kwa Sababu Mtu Anakula Chips Kavu Na Soda; Ni Lini Choo Kitajaa?[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Matokeo kidato cha nne, div 1 moja, div 2 moja , div 3 Na 4 hakuna, sifuri 200.
Afisa elimu: mkuu wa shule mbona wanafunzi wengi wamefeli
Mkuu wa shule: tumewaandaa wawe wakuu wa Mikoa Na wilaya[emoji125][emoji125][emoji125]
Daaaaahh, Bashite anapeta tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mbavu zangu!
 
Watoto nao kwa kuropoka.... Mgeni kauliza "mbona paka wenu ananiangalia sana ninavyokula?" Mtoto akaropoka "labda kwasababu wamekupakulia kwenye SAHANI yake!". ungekuwa ww ndio mgeni ungefanyaje??????????
 
BREAKING NEWZZ!!!

SERIKALI YATANGAZA NEEMA KWA WAFANYAKAZI SIKU CHACHE KABLA YA MEI MOSI.

Raisi atangaza ongezeko la mshahara kwa asilimia 45% kwa wafanyakazi wa sekta zote nchini ambapo kwa wafanyakazi wa sekta binafsi ongezeko hilo litatokana na mikataba waliowekeana na waajiri wao.

Ongezeko hilo ambalo ni kubwa ambalo halijawahi kutokea katika historia limelenga zaidi kwa wafanyakazi wote wa wote haswa wafanyakazi wa serikali. Hatua hii ni katika kutaka kuboresha maisha ya wananchi kwa ujumla.

Akiongea na waandishi wa habari raisi amesema anajiskia faraja kuona sasa maisha ya mfanyakazi yataboreka kuliko kipindi kingine chochote haswa wananchi wa pato la chini. Hata hivyo raisi huyo wa Brazil akutangaza ni lini ongezeko hilo litaanza ila ameahidi kuanza haraka iwezekanavyo.
 
Matokeo kidato cha nne, div 1 moja, div 2 moja , div 3 Na 4 hakuna, sifuri 200.
Afisa elimu: mkuu wa shule mbona wanafunzi wengi wamefeli
Mkuu wa shule: tumewaandaa wawe wakuu wa Mikoa Na wilaya[emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1]
 
Bora kule kwa jk .t
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…