kali[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Chizi wewe [emoji1] [emoji1] [emoji1] hahahalugha bhana,
Jamaa alienda Saudi
Arabia, kataka kuvuta
sigara lkn hakuwa na
kiberiti. pembeni yake
kukawa na muarabu
anacho sasa hajui
amuombeje, basi lilimtoka
tu "Ya Muarrab, give me Jahannam''[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ww ni tairaYanga mechi 28 points 65,Man U mechi 35 points 65.
Swali kati ya Yanga na Man U ipi bora???
Sipangiwi cha kupost[emoji57] [emoji12]
Hahahaha mbavu zanguYAP:WADADA WA SIKU HIZI...
Mshahara Ukitoka Wana Maneno Matamu Hata Kwenye Dictionary Hayamo!! Eti "Wewe Ndo Kinjekitile Wangu"
antena ndo inaanza kuikatia
Kweli ?ww ni taira
chupi [emoji23] [emoji23] [emoji23]SWALI LA KIZUSHI
Hivi CHUPI na SAMAKI,kipi KINAVULIWA saana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wew kibokoSometimes nikisoma Bible huwa namchukia shetani sana...
Yani imagine alikua anamshawishi Yesu abadilishe mawe yawe mkate....
Yani inamaana now Nyumba zetu tungekua tunajengea mikate....
Kwaiyo kama umejenga kwenye hifadhi ya barabara Tanroads wakija na chai tu... Wanaikula Nyumba yako yote.....
Asee I hate shetani na idea zake zote....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sometimes nikisoma Bible huwa namchukia shetani sana...
Yani imagine alikua anamshawishi Yesu abadilishe mawe yawe mkate....
Yani inamaana now Nyumba zetu tungekua tunajengea mikate....
Kwaiyo kama umejenga kwenye hifadhi ya barabara Tanroads wakija na chai tu... Wanaikula Nyumba yako yote.....
Asee I hate shetani na idea zake zote....
Spoti pesa fcww ni taira
Acha wosia kabisaHahahahahah!!!! Nakufa Huku,,, hahahahaha
*Tulikua kwenye basi tunaelekea arusha, ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua kwenye spidi hatari,* *nikaenda kumziba macho nikamuuliza* otea mi ni nani, kabla hajanijibu nikasikia kishindo kikubwa sana
na sasa hivi nimezinduka naona abiria wote tupo wodi namba 3 hapa KCMC Moshi nafkiri stendi imehamishiwa huku sikuizi.
[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
*Akili zangu nazijua mwenyewe!!!*
We mwongooWala hazichekeshi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]lugha bhana,
Jamaa alienda Saudi
Arabia, kataka kuvuta
sigara lkn hakuwa na
kiberiti. pembeni yake
kukawa na muarabu
anacho sasa hajui
amuombeje, basi lilimtoka
tu "Ya Muarrab, give me Jahannam''[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]