Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

lugha bhana,

Jamaa alienda Saudi
Arabia, kataka kuvuta
sigara lkn hakuwa na
kiberiti. pembeni yake
kukawa na muarabu
anacho sasa hajui
amuombeje, basi lilimtoka
tu "Ya Muarrab, give me Jahannam''[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chizi wewe [emoji1] [emoji1] [emoji1] hahaha
 
MECHI ILIYOPIGWA MUDA MREFU ZAIDI DUNIANI

Hii ilikua mwaka 1942 fainali ya AMERICAN CUP ENZI HIZO,kati ya ARGENTINA na MAREKANI

kipute kilipgwa dk 90 wanaume wakatoka mbili kwa mbili, zikawekwa 30 wanaume wakamaliza hivo hivo,

refa KOLLAR DE QUISOR akasema twendeni kwenye matuta,kwenye 5 za kwanza wakatoka 4 kwa 4 akawaambia wapige zingine wakatoka 5 kwa 5,basi wakapigiana penalty karibu mia wakatoa sare.Kwa kua walikua wamechoka akawaomba wapumzike wakaenda mapumzko kurudi mambo yakaenda mpaka penalty mia zingne ikawa draw,zikapigwa hamsini zngne ikawa sare na watu njaa zinauma sana,basi bwana KOILLAR akawaambia wakapate msosi kwenye mgawaha wa karibu.Waliporudi ikapigwa penalt mpaka karibu na kesho na watu wakaambiwa laleni uwanjani,asubuhi zikapigwa tena kitu sare na ikawa hivo kwa siku 4 ndipo ikarushwa shilingi bado ikatua imesimama zaid ya mara kumi na 9,refaakawaomba wakate kombe nusu kwa nusu.

SIJAWAHI KUWADANGANYA NDO NAANZA LEO.

[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Sometimes nikisoma Bible huwa namchukia shetani sana...
Yani imagine alikua anamshawishi Yesu abadilishe mawe yawe mkate....

Yani inamaana now Nyumba zetu tungekua tunajengea mikate....

Kwaiyo kama umejenga kwenye hifadhi ya barabara Tanroads wakija na chai tu... Wanaikula Nyumba yako yote.....

Asee I hate shetani na idea zake zote....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wew kiboko
 
Sometimes nikisoma Bible huwa namchukia shetani sana...
Yani imagine alikua anamshawishi Yesu abadilishe mawe yawe mkate....

Yani inamaana now Nyumba zetu tungekua tunajengea mikate....

Kwaiyo kama umejenga kwenye hifadhi ya barabara Tanroads wakija na chai tu... Wanaikula Nyumba yako yote.....

Asee I hate shetani na idea zake zote....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
299e73f537f0127353f44e51039dbb83.jpg
😀😀😀😀
 
*Tulikua kwenye basi tunaelekea arusha, ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua kwenye spidi hatari,* *nikaenda kumziba macho nikamuuliza* otea mi ni nani, kabla hajanijibu nikasikia kishindo kikubwa sana
na sasa hivi nimezinduka naona abiria wote tupo wodi namba 3 hapa KCMC Moshi nafkiri stendi imehamishiwa huku sikuizi.
[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]

*Akili zangu nazijua mwenyewe!!!*
 
lugha bhana,

Jamaa alienda Saudi
Arabia, kataka kuvuta
sigara lkn hakuwa na
kiberiti. pembeni yake
kukawa na muarabu
anacho sasa hajui
amuombeje, basi lilimtoka
tu "Ya Muarrab, give me Jahannam''[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom