Ku apload pictureMipakio Rununu daaaahh ndo nini hiyo??
HahaaaMwalimu kaniulizaa kama mtoto mdogo anaitwa mchanga... Je mtu mkubwa anaitwaje? ... Nikamjibu anaitwa kokoto..... Ameniitaa staff room labda atakuwa ameniitia chai
Huyu mwalimu ana roho nzuri sio kama mwl Msigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mvuta kamba wanasema huvutia kwake, lakini ikikatika meno na pua hana...[emoji23] [emoji23]Jana niliuziwa mzigo feki, nimeuvuta wote na macho kujicheki kwa kioo eti meupe kama ya kwenye avatar yako[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23], ngoja nika[emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]yaan maisha yamekuwa magumu...saa hv ukimtumia demu sms kwa kutumia namba ngeni ukamuuliza vp ile pesa nlokutumia umeipata anajibu fasta "Hapana mpenzi wangu sijapata"...yale maswali ya wew nani...namba yng umeitoa wapi cjui yameenda na mvua[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
😀 😀 😀*Bibi kizee alikuwa kwenye meli.amevaa kofia na upepo mkali ukipuliza, akashikilia kofia kwa mikono miwili. huku gauni likapeperushwa na hakuvaa chupi. mtu mmoja akamuuliza,kwann unashikilia kofia wakat chini kukowazi hujavaa chupi? bibi akajibu: UCHI NINAO ZAID YA MIAKA 85.KOFIA NIMENUNUA JANA TU....*[emoji2][emoji23][emoji2][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zangu mmiNimemuomba baba mwenye nyumba anikopeshe pesa, alafu amenipa tu hivi, nikamlipa nazo kodi hapohapo. Tumecheka na yeye kama dakika 5 ivi, alafu akanifungia nyumba. [HASHTAG]#nadhani[/HASHTAG] tunaenda kunywa soda kwenye duka la mangi hapa jirani maana hakuamini ningemlipa kodi kwa wakati
Kwani ya Ludewa nzuri? Hapa Dar wapi naweza kuipata?[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Mvuta kamba wanasema huvutia kwake, lakini ikikatika meno na pua hana...[emoji23] [emoji23]
Hawa wahenga bhana bangh yao sijui ilikuwa ya ludewa[emoji3] [emoji3] [emoji3] ...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,,we Numbisa ww Mungu anakuon ujue…!!yaan maisha yamekuwa magumu...saa hv ukimtumia demu sms kwa kutumia namba ngeni ukamuuliza vp ile pesa nlokutumia umeipata anajibu fasta "Hapana mpenzi wangu sijapata"...yale maswali ya wew nani...namba yng umeitoa wapi cjui yameenda na mvua[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] daaah…!!*Mwanaume anatakiwa awe vipi???*
*Mwanaume ni kama kamba za viatu, anatakiwa kupita matundu mengi kabla ya kufunga fundo*
Pole ndo mambo akufaae kwa dhiki ndo rafikiMaisha yamekaza hadi unamuuliza mkeo kama ana boyfriend awakopeshe laki ? Na stress ni pale anapokujibu ngoja nimuulizie?⚰⚰"
...niko kwa wakala hapa tunatoa kwa uchungu...
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Pole ndo mambo akufaae kwa dhiki ndo rafiki
Hakuna kitu ninachochukia [emoji16] [emoji16] [emoji16] kama kila nikienda kununua naambiwa cha Arusha wakati niki[emoji377] [emoji377] kumbe sichoYa ludewa si kali sana maana hamna baridi kama Arsh!
[emoji23] [emoji23] [emoji763] [emoji124]
Uwe unanua mbegu upande mwenyewe, ziwe kutoka huko; hapo ndio utapata ule udambwi dambwi halisi...[emoji23] [emoji23] [emoji763] [emoji124]Hakuna kitu ninachochukia [emoji16] [emoji16] [emoji16] kama kila nikienda kununua naambiwa cha Arusha wakati niki[emoji377] [emoji377] kumbe sicho
Good [emoji362]Uwe unanua mbegu upande mwenyewe, ziwe kutoka huko; hapo ndio utapata ule udambwi dambwi halisi...[emoji23] [emoji23] [emoji763] [emoji124]