Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ukirudi kulichukua unakuta mwingine kajipaka usoni!!View attachment 512883
Aiseee inauma sana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
View attachment 512883
Aiseee inauma sana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Wanyama wangekuwa na WHAT'S UP.
Status zingekuwa:
MENDE: "nimekoswa na guu la mama mwenye Nyumba, maisha yangu mashakani, why always me???? "
PANYA: "nimekula nguo lenye pafyumu, nasikiaje kiu. uwiiiii"
NGURUWE: Binadamu wabaya jamani, wameshanizushia nasambaza mafua "
MBU: Nina HIV, nimekomaje kunyonyanyonya hovyo.
MBUZI: teh teh teh. thank Good pasaka imepita. ni kula BATA tuu mpaka EID.
KUKU: "friends mkiona kesho kimya mjue nipo mezani maana kuna wageni wamekuja leo hapa home, tuombeane uzima wapendwa, love you all"
MBWA:Wadau mie nshakuwa wa kulala nje tu na kuwalinda washikaji kisha wananipa makombo
PAKA:Kweli unga umepanda kabana hadi panya hawaonekani vichochoroni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona huyu dingi anaonekana kama alimfumania mkewe akiliwa uroda na muuza urembo?
[emoji16][emoji23][emoji23]. Huyo mdingi alikuwa kwenye prison break season 2 ndo hiyo picha ilpopigwa. Alicheza kama kaka wa makamu wa rais na hapo alikuwa mafichoni.Mbona huyu dingi anaonekana kama alimfumania mkewe akiliwa uroda na muuza urembo?
Hahaha unawasingizia wauza urembo
[emoji16][emoji23][emoji23]. Huyo mdingi alikuwa kwenye prison break season 2 ndo hiyo picha ilpopigwa. Alicheza kama kaka wa makamu wa rais na hapo alikuwa mafichoni.
Siwasingizii, jamaa wanatisha kwa kula wake za watu uroda.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Basi Bayern Munchen walivo na roho mbaya,utawaona mwakani na wao watatolewa kwenye makundi ili mradi tu wakacheze na Arsenal Europa[emoji51][emoji51][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]
Mkuu kumbe ulikuwa unaota? Nilidhani ilikuwa ni liveMSICHANA: Baby Naomba Unisaidie Pesa Nikaweke Vizuri Nywele Zangu Naona Haziko Sawa(Jamaa Akazama Mfuko Akachomoa Noti Kadhaa Za Elfutano tano Na Kumpatia Msichana)
JAMAA: Baby Japo Najua Pesa Hiyo Ni Kidogo Ila Ukiipangilia Vizur Inaweza Kukutosha
(Msichana Baada Ya Kuzihesabu Na Kukuta Zipo 100,000/- Akachukua 15,000/- Halafu Ile 85,000/- Iliyobaki Akamrudishia Jamaa Kisha Akasema🙂
Baby Hii 15,000/- Inanitosha Hiyo 85,000/- Utaitumia Kwa Mambo Mengine,
Hupaswi Kuanza Kutumia Pesa Nyingi Kwaajili Yangu Sasaivi Ila Utakapokuwa Umenioa Ndipo Utapaswa Kufanya Hivyo.
*Nikaamka kwa mshtuko kwani kwa uzoefu wangu wote sijawahi ota ndoto yakutisha kama hii*
Chungu balaaa[emoji23][emoji23]*ET ALIYEWAHI KULA JEURI YAKE ANIAMBIE LADHA IKOJE NA MIMI NILE KWASABABU NASIKIA TU WATU WAKIAMBIWA UTAKULA JEURI YAKO*
*Wahenga agizeni coca baridii nitalipa bill*
Ukitaka kujua kweli wanaume tumeumbwa mateso we usivae boksa[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] then kwa bahati mbaya ubanwe na zipu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dadeki kama hutoimba acapela kwa sauti #1
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
Mwifwa bhanaaa, mbona unanifanyia hivi mtt wa mwenzio ucku wote huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MKE; (kachukua simu akaanza kuongea kwa hasira),mume wangu uko wapi mpaka mida hii saa 4 za usiku?
MUME; Mke wangu unalikumbuka lile duka la urembo ambalo tuliukuta ule mkufu wa dhahabu ambao ulisema unaupenda sana halafu nikakwambia sina hela ila nikasema ipo siku nikipata hela nitakununulia?
MKE; Yes,yes napakumbuka dear,enhee niambie mume wangu!
MUME; Okay sasa kwa nyuma yake kuna bar,nipo nakunywa hapa![emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]