Hahahaaaa,, balaa sanaa,, afu hapo usikute akifik nyumbn anaingia na jikoni kuangalia chchote kitu…!!!alibakari baada ya kupuliza mmea na kuingia ulingoni...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Akitoka hapo anaenda kushushia na kashata za mbengu za lijani!
Ushauri; usiache hii kitu, inakufaa sana maana kwenye maakuli huzazi kitu! [emoji14] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, silipi nauli kabsaa…!!*Ku date na mwanamke mfupi sio tatizo*
Tatizo ni pale unapo panda nae kwenye daladala konda anasema
"kaka mpakate mwanao"
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, utaniua we Numbisa, itabidi nimwambie anisaidie hata kudeki tuu…!!!Vuta picha umelala mida ya alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlango kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira zako kwenda kumfungulia unajikwaa kidole cha mwisho cha mguu ktk kona ya kitanda ile ndiiii.. kugeuka unaparamia ndoo za maji yanamwagika. mara unateleza ktk yale maji unaangukia meza unaangusha tv, deki na ww chini mara waya wa umeme unakupiga short mgongoni, unafika mlangoni na maumivu ya kidole + uchovu + hacra + hasara na short juu unakutana na jamaa anakwambia nasajili line za Halotel
Hapa ndo utaelewa samehe 7x70 inamaanisha nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuu……!!!Dawa ya kiburi, jeuri tu.
Mke:Naelekea london, nikuletee zawadi gani?
Mume: kitu gani unaweza niletea wewe?
Mke:we omba Alafu utaona.
Mume: Niletee msichana wa kizungu.
Mke: (mke akaenda London na kurudi)
Mume: zawadi yangu iko wapi?
Mke: Subiri ndani ya miezi 9!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji85]
*Pia Wamama hawapendi ujinga*
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Vuta picha umelala mida ya alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlango kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira zako kwenda kumfungulia unajikwaa kidole cha mwisho cha mguu ktk kona ya kitanda ile ndiiii.. kugeuka unaparamia ndoo za maji yanamwagika. mara unateleza ktk yale maji unaangukia meza unaangusha tv, deki na ww chini mara waya wa umeme unakupiga short mgongoni, unafika mlangoni na maumivu ya kidole + uchovu + hacra + hasara na short juu unakutana na jamaa anakwambia nasajili line za Halotel
Hapa ndo utaelewa samehe 7x70 inamaanisha nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]*Ku date na mwanamke mfupi sio tatizo*
Tatizo ni pale unapo panda nae kwenye daladala konda anasema
"kaka mpakate mwanao"
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
Na akikosa hilo timbwili atakalomwamshia mama Akwilo sasa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani bhange nzuri lakini inategemea na ukanda ilimotoka..[emoji763] [emoji763] [emoji124] [emoji124]Hahahaaaa,, balaa sanaa,, afu hapo usikute akifik nyumbn anaingia na jikoni kuangalia chchote kitu…!!!
Huyu mwanamke atakuwa ametoka kanda maalumu maana kule ubabe ngoma droo.Dawa ya kiburi, jeuri tu.
Mke:Naelekea london, nikuletee zawadi gani?
Mume: kitu gani unaweza niletea wewe?
Mke:we omba Alafu utaona.
Mume: Niletee msichana wa kizungu.
Mke: (mke akaenda London na kurudi)
Mume: zawadi yangu iko wapi?
Mke: Subiri ndani ya miezi 9!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji85]
*Pia Wamama hawapendi ujinga*
Hahaahaaa. Ukitaka kujua kama kondom ni nzito nenda nayo nyumbani. utadhani umebeba mfuko wa simenti*HUYU* *NDO* *MWANAMKE*
Akikuta *PESA* wakati anafua atapiga kimya kimya
sasa hebu akute umeacha *CONDOM* ndo utajua kama umeoa *KIPAZA* *SAUTI* [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ndio maana mimi nafungaga condom na hela kwa pamoja... akivikuta anachukua hela na kuishia kusonya tu.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaahaaa. Ukitaka kujua kama kondom ni nzito nenda nayo nyumbani. utadhani umebeba mfuko wa simenti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu asante nimecheka mpaka mbavu zinauma*HUYU* *NDO* *MWANAMKE*
Akikuta *PESA* wakati anafua atapiga kimya kimya
sasa hebu akute umeacha *CONDOM* ndo utajua kama umeoa *KIPAZA* *SAUTI* [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ndio maana mimi nafungaga condom na hela kwa pamoja... akivikuta anachukua hela na kuishia kusonya tu.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] pole Mkuu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu asante nimecheka mpaka mbavu zinauma