Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Hahahaaaa,, balaa sanaa,, afu hapo usikute akifik nyumbn anaingia na jikoni kuangalia chchote kitu…!!!
 
*Ku date na mwanamke mfupi sio tatizo*

Tatizo ni pale unapo panda nae kwenye daladala konda anasema

"kaka mpakate mwanao"
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, silipi nauli kabsaa…!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, utaniua we Numbisa, itabidi nimwambie anisaidie hata kudeki tuu…!!!
 
Duuuu……!!!
 
[emoji56]Nimevurugwa jamani[emoji56]
Hebu na wewe imagine Kwa mfano tundu la choo lingekua na kamera linarekodi movie we ungekua season ya ngapiiii??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ujinga siachi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamaa: We dada umebikaa[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Dem: Kwaiyo nini[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Jamaa: Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana[emoji41] [emoji41] [emoji41]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaaa,, balaa sanaa,, afu hapo usikute akifik nyumbn anaingia na jikoni kuangalia chchote kitu…!!!
Na akikosa hilo timbwili atakalomwamshia mama Akwilo sasa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani bhange nzuri lakini inategemea na ukanda ilimotoka..[emoji763] [emoji763] [emoji124] [emoji124]
 
*CHEKI HII YA PANYA*
[emoji232] [emoji232] [emoji232] !
*Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi*

*Panya 1: *jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!*

*Panya 2* *Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa*
*kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa*

*RAT 3* *Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!*
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
*Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa*
 
Huyu mwanamke atakuwa ametoka kanda maalumu maana kule ubabe ngoma droo.
 
*HUYU* *NDO* *MWANAMKE*

Akikuta *PESA* wakati anafua atapiga kimya kimya

sasa hebu akute umeacha *CONDOM* ndo utajua kama umeoa *KIPAZA* *SAUTI* [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ndio maana mimi nafungaga condom na hela kwa pamoja... akivikuta anachukua hela na kuishia kusonya tu.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SHINDA SAFARI YA KUTEMBELEA KITUO CHA POLISI

tuma ujumbe "nauza bangi" kwenda namba 911 na ujiweke kwenye nafasi ya kushinda safari ya bure 'vyakula na malazi katika kituo cha polisi kilichopo karibi nawe

_uwajuze na wengine ili nao wapate nafasi ya kushinda. [emoji125] [emoji125]
 
Hahaahaaa. Ukitaka kujua kama kondom ni nzito nenda nayo nyumbani. utadhani umebeba mfuko wa simenti
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu asante nimecheka mpaka mbavu zinauma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…