Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

alibakari baada ya kupuliza mmea na kuingia ulingoni...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
7c5fb198ecbe3a3a30d3ab64e9868989.jpg

9db8b297a67c077945f6f066aed3785c.jpg

Akitoka hapo anaenda kushushia na kashata za mbengu za lijani!
Ushauri; usiache hii kitu, inakufaa sana maana kwenye maakuli huzazi kitu! [emoji14] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
 
2e898b409942dd9adbebaa8e3b418b44.jpg

Mende na panya hawana adabu, juzi nimeingia kabatini nikakuta boksa yangu moja sijaivaa muda mrefu, nikaona niitoe iliniivae, kuichunguza nikakuta wameifanya kama hivyo hapo juu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Washenzi sana, nitawapulizia moshi mzito wa bhangi hadi wakimbie wenyewe[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hahaa
 
Kuna muuza karanga kanifanyia umafia hadi nimejishangaa maana Nilikua najiamini kuwa mi born town.

Nimenunua Kwake karanga za 500 kumbe mfukoni nilikua na msimbazi moja tu (Elfu Kumi).

Basi ameniomba nimsubiri akatafute change me nibaki na kapu lake la karanga.

Sasa ni masaa mawili tangu aondoke hajarudi.

Nimepiga hesabu karanga zilizopo ni za 10,000 kwa hiyo hapa ndo nimeanza kuzitembeza ili nirudishe ten yangu.

Maisha haya jamani[emoji113][emoji21]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
*Jamani makubwa haya!*
Niko zangu home nimetulia, mara naskia jamaa Anasema ; *Nauza* *vifuniko* *vya* *asali*
Nimetoka nje kuangalia kumbe anauza
*chupi* na *sidiria*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
NIKIWA SHULE MWALIMU WANGU WA KISWAHILI ALINAMBIA "MTU MWENYE MKONO MREFU MAANA YAKE NI MWIZI"
SASA KUNA WAKATI UNASIKIA VIONGOZI WANASEMA..MSICHEZE NA SERIKALI MAANA SERIKALI "INA MKONO MREFU"
YAANI HAPO NDO NASHINDWAGA KUELEWA NDUGU WATANZANIA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkono wa serikali kwenye maswala ya hela za maafa na rambi rambi ... Mkuu inabidi uelewe sasa kwa huo mfano wangu.

Mwalimu wako alikufundisha vizuri kabisa.
 
Vuta picha umelala mida ya alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlango kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira zako kwenda kumfungulia unajikwaa kidole cha mwisho cha mguu ktk kona ya kitanda ile ndiiii.. kugeuka unaparamia ndoo za maji yanamwagika. mara unateleza ktk yale maji unaangukia meza unaangusha tv, deki na ww chini mara waya wa umeme unakupiga short mgongoni, unafika mlangoni na maumivu ya kidole + uchovu + hacra + hasara na short juu unakutana na jamaa anakwambia nasajili line za Halotel

Hapa ndo utaelewa samehe 7x70 inamaanisha nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vuta picha umelala mida ya alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlango kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira zako kwenda kumfungulia unajikwaa kidole cha mwisho cha mguu ktk kona ya kitanda ile ndiiii.. kugeuka unaparamia ndoo za maji yanamwagika. mara unateleza ktk yale maji unaangukia meza unaangusha tv, deki na ww chini mara waya wa umeme unakupiga short mgongoni, unafika mlangoni na maumivu ya kidole + uchovu + hacra + hasara na short juu unakutana na jamaa anakwambia nasajili line za Halotel

Hapa ndo utaelewa samehe 7x70 inamaanisha nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka yaani kidogo nijambe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
*Kumbe kuoa mwanamke ambaye hajasoma raha hata ukiulizwa*

*Mke: mme wangu unaenda wapi?*

*Mme: naenda kubadilisha profile picture Mbeya*

*Mke: haya mme wangu safari njema*

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *shule muhimu!*
 
Vuta picha umelala mida ya alfajiri hivi... Usingizi ule wa kukesha jana yake, halafu kuna mtu anakuja kukugongea mlango kwa fujo sana kwenye mida ya kama saa moja moja hivi. Ile unaamka na hasira zako kwenda kumfungulia unajikwaa kidole cha mwisho cha mguu ktk kona ya kitanda ile ndiiii.. kugeuka unaparamia ndoo za maji yanamwagika. mara unateleza ktk yale maji unaangukia meza unaangusha tv, deki na ww chini mara waya wa umeme unakupiga short mgongoni, unafika mlangoni na maumivu ya kidole + uchovu + hacra + hasara na short juu unakutana na jamaa anakwambia nasajili line za Halotel

Hapa ndo utaelewa samehe 7x70 inamaanisha nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dawa ya kiburi, jeuri tu.

Mke:Naelekea london, nikuletee zawadi gani?
Mume: kitu gani unaweza niletea wewe?
Mke:we omba Alafu utaona.
Mume: Niletee msichana wa kizungu.
Mke: (mke akaenda London na kurudi)
Mume: zawadi yangu iko wapi?
Mke: Subiri ndani ya miezi 9!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji85]

*Pia Wamama hawapendi ujinga*
 
Back
Top Bottom