0756-596289Kwa wale mnaofunga Ramadhani ,, naomba kuwakumbusha kuna watu tumejitolea kubeba mizigo yenu kipindi hiki,, tunaombeni namba za simu za michepuko yenu tuwasaidie kupunguza vishawishi
UNDUGU ni KUFAANA na SIO KUFANANA…!!?
[emoji15] [emoji15]Matokeo kidato cha nne, div 1 moja, div 2 moja , div 3 Na 4 hakuna, sifuri 200.
Afisa elimu: mkuu wa shule mbona wanafunzi wengi wamefeli
Mkuu wa shule: tumewaandaa wawe wakuu wa Mikoa Na wilaya[emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] john weeeeJohn sanga ni mwanafunzi mchoraji,siku moja alichora noti ya shilingi elfu kumi kwenye sakafu..mwalimu alipoingia darasani ghafla akajikwaa akaanguka na kupasuka pua.....
Wakati alikua anakimbilia ile ela kuiokota,akauliza wanafunzi nani aliechora hapo chini?
Wanafunzi wote wakamtaja john
Mwalimu kamua kumpigia baba yake john simu(mzee sanga).
Mzee sanga kapokea akiwa hospital kalazwa, mwalimu akamweleza makosa ya mwanae, mzee sanga akamwambia afadhal yako wewe umepasuka pua hujalazwa, huyo mbwa Jana kachora uchi Wa mwanamke kwenye socket ya umeme
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
UNAISI MZEE SANGA KAUMIA WAPI!!?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Itakuwa ndio niliyekutana nae pale kichochoroni. Akikuwa na chupa yake ya konyagi mkononi, nami nilikuwa na mzinga nimeshikilia akaniuliza: NAJIONA KWENYE KIOO AU.... mimi nikajibu: HATA MINI NASHANGAA KIOO KINAZUMGUMZA....
Sasa hivi ndo nagundua kweli sisi vyapombe hatuna akili nzuri
Hongera, comment zangu zipo ngapi?Ila Uzi huu bana hata kama umekereka kiasi gani stress zote kuleeeee imenibid nisome comment zoooote kuanzia mwanzo
Da sijakalili aise mana watu wengi wamecoment mkuuHongera, comment zangu zipo ngapi?
Usijali, endelea kufurahia digital lifeDa sijakalili aise mana watu wengi wamecoment mkuu
hahahaMwalimu yuko darasani anafundisha somo la English..
Mwl: is a trouser singular or plural?
Pupil: singular at the top and plural at the bottom.
Hii irinitokeaga mwaka 1965 wakat nafnya mtihan wa kidato cha 6[emoji23][emoji23][emoji23] *Ushawahi fanya mtihani halafu msimamizi kasimama sana nyuma yako akiangalia unachoandika kisha unamsikia akitangaza "jamani hakikisheni mnasoma vizuri maswali"[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]*