Hilo swali ni sawa nankukuuliza tanzania i aitwaje kwa kiingereza.
Jbu simple. Tanzania
WrapperHilo swali ni sawa nankukuuliza tanzania i aitwaje kwa kiingereza.
Jbu simple. Tanzania
Mpeleke M-pesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wadau kuna mtoto hapa wa jirani kameza jero, , ili kuitoa nimpleke hospitali au M-pesa?
Kwao sawa,huku kwetu utaishia MIREMBE TU[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kwani kuna binti wa kiume?Nilikuwa nimekaa kwenye ukumbi wa sinema
, mbele yangu kulikuwa na binti wa kike nà
kijana wa kiume wakiwa wamepakatana,
nilipigwa na butwaa yule binti alipoamua
kupandisha blauz yake juu na ghafla yule
kijana akaanza kunyonya taratiibu kana kwamba hamna watu wanaowaona , cha
kushangaza zaidi yule binti alikuwa wa miaka 25 na kijana ana miezi 3...!!!
duh! 1965? [emoji56] [emoji2] [emoji102] [emoji85] [emoji822]Hii irinitokeaga mwaka 1965 wakat nafnya mtihan wa kidato cha 6
Hahahahaha hizi bangi bana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kwani kuna binti wa kiume?
Rejea post mkuu, ameandika binti wa kike[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaha hizi bangi bana
[emoji23] nimeionaRejea post mkuu, ameandika binti wa kike[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Pombe siyo chai*
Mlevi mmoja alijikwaa akaanguka. Watu walipokuja kumuuliza kulikoni akawajibu "sijui na Mimi ndo nimefika sasaivi"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi sijawahi hata kukutana na Masai albino[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Eti samahani hivi katika tembea tembea zako ushawahi kukutana na masai anaongea BESI??