Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Jamaa analala yeye na mke wake na watoto wote chumba kimoja. Akamwambia mke wake wacha tujinyooshe wakishalala watoto, ukiona nawasha kibiriti nazima ujue nakuita njoo kwangu..
Mke Akakubali sawa mume wangu, mke ukamchukua usingizi akalala[emoji42] [emoji42]

Mume akaanza kuwasha na kuzima.
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
bado mke kalala..
Mmoja kati ya watoto akamwambia ndugu yake..
"Dogo hebu mwamshe maza huyu mtu asije akatuunguza bure...."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itakua watoto walikua wanaujua mchongo wa wazazi [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kuwa taa ikiwashwa kazi kazi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uliwahi kujiuliza kwa nini ATM hutoa kadi kwanza halafu pesa huja baada ya kadi?

Walotengeneza ATM wanajua hulka za binadamu! Kwamba binadamu akipata anachotaka anasepaaaa.... hakumbuki alomwezesha!

Wangapi wangekumbuka kuchukua Kadi kwenye ATM kama pesa ingetoka kwanza?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Demu moja alimuomba mpangaji mwenzie wa kiume ndoo ya kuogea, kwa bahati mbaya demu alisahau chupi yake kwenye ile ndoo, akamwambia jamaa samahani shem kuna kitu nimesahahu kwenye ndoo. msela akamwambia pita ndani uchukue shem, binti akaenda kuchukua akiwa amevaa kanga moja tu, ile anatoka kwa msela na mumuwe anaingia afu anamkuta mkewe anatoka kwa msela, kavaa kanga moja afu chupi kaishikilia mkononi. wewe ungehisi nini hapo.....!
 
Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa.
Kamlia timing kwa muda kisha akamuuliza:-

"Samahani dada unaitwa Google?".
Dada: "Hapana, kwanini umedhani naitwa hivyo?".
Jamaa: "Una kila kitu nnachokitafuta
"[emoji28][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Baba mmoja juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye matiti akiwa amelala ili mtoto akinyonya afe kwani alihisi sio wa kwake, akaondoka zake kazini aliporudi nyumbani kakuta mlinzi wa getini amekufa!!

Usiniulize alikufaje. Mambo ya umbea sipendi


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom