Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee sio ishu tukale wapi?Kutongozana cyo ishu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamaa aliingia msikitini akiwa kashika panga huku jasho likimtoka,akasema"nani muislamu humu?"wote wakauchuna.Akarudia tena"nauliza nani muislamu humu hamnisikii?"wote kimya.Akamgeukia Imamu"wewe sio muislamu?"...Imamu:aaaaah jamani kukaa mbele tu hapa ndo nimeshakuwa muislamu?"...Akamshika mkono muumini mmoja aliyekuwa karibu na mlango akamtoa nje,akamwambia "naomba ukanichinjie mbuzi nyumbani nina wageni leo waislamu"....jamaa akaenda akamchinjia halaf akamwambia"ila utaalamu wa kuchuna ngozi sina labda ukamchukue mwenzangu"....jamaa ikabidi arudi msikitini huku panga linavuja damu....Imamu kuona vile akasema"tumsifu Yesu kristo"...waumini wakaitikia"milele amina!!"
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamaa aliingia msikitini akiwa kashika panga huku jasho likimtoka,akasema"nani muislamu humu?"wote wakauchuna.Akarudia tena"nauliza nani muislamu humu hamnisikii?"wote kimya.Akamgeukia Imamu"wewe sio muislamu?"...Imamu:aaaaah jamani kukaa mbele tu hapa ndo nimeshakuwa muislamu?"...Akamshika mkono muumini mmoja aliyekuwa karibu na mlango akamtoa nje,akamwambia "naomba ukanichinjie mbuzi nyumbani nina wageni leo waislamu"....jamaa akaenda akamchinjia halaf akamwambia"ila utaalamu wa kuchuna ngozi sina labda ukamchukue mwenzangu"....jamaa ikabidi arudi msikitini huku panga linavuja damu....Imamu kuona vile akasema"tumsifu Yesu kristo"...waumini wakaitikia"milele amina!!"
Acheni izo ndugNiliitwa kwenye interview baada ya kukubaliwa maombi yangu ya kazi, nilipofika nilikuwa na furaha sana maana ndoto zangu za kupata ajira ndio zilikuwa zinaenda kutimia, nikaingia moja kwa moja ofisini alipo interviewer akaniambia ''wait please" nikamjibu '65kg' .
Ameniambia nirudi wiki ijayo, nadhani nitaenda kuanza kazi moja kwa moja.
Ohoooo!...[emoji23] [emoji23]Kuna Bata Wa Jirani Yangu Huwa Namuonea Huruma Sana Kila Siku Anakuja Kumpanda Bata Wangu Na
Akimaliza Tu Utaona Kuna Utumbo Mrefu Unaburuza Chini Leo Nimemvizia Alivyomaliza Kumpanda Tu
Nikaudaka Ule Utumbo Na Kuukata Na Kisu Basi Yule Bata Tangu Asubuhi Amelala
Tu,Wenyewe Wanamtafuta Nahisi Ule
Utumbo Ulikua Unamnyima Usingizi..