Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

MKE-hili jiji letu siku hizi
linawasichana wazur jaman
MME-wabaya watoke wapi wakati tulishawaoa

Mke naona amebeba furushi nadhani atakua ameenda kufua[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duuh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
. ⚜ *WABUNGE GROUP* ⚜

TODAY
Ndungai added Tulia

Ndungai added Jenista

Tulia: Habari za muda waheshimiwa. [emoji7][emoji7]

Goodluck Milinga: Nakuona tu Tulia ulivyo tulia. [emoji68]‍[emoji310]

Ester Bulaya: We milinga (mpunga [emoji264] wa Ulanga ) acha uboya hilo ndo jibu la salamu?

Goodluck Milinga: Rudi CCM kichwa panzi [emoji218]wewe, huko washakuharibu akili.

Kigwangala: Jamani mbona mnarushiana maneno hivyo? Kuweni watu wazima basi.

Halima Mdee: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Kigwa boy, vunga hakuna lugha mbovu hapo, kwanza vipi wale mashoga [emoji129] umewasahau majina yao si ulisema utawataja?

Bashe added Nape

Pole pole: Nani kamuadd huyu mamluki? [emoji379]

Tundu Lissu: Heeeee![emoji15] Huyu pole pole kafata nini humu? Kwan naye ni mbunge mbona mnatuletea watu hatuwaelewi elewi . Hivi admin sheria za grup na mlengo wake hauufahamu? Naomba sheria na kanuni zetu zizingatiwe.

Pole pole: Kausha we jamaa sio mahakamani hapa. [emoji57]

Makonda: Pole pole, dogo janja wangu safi sana mchane huyo jamaa anajifanya mjuaji. Akachunge ng'ombe na mamvi wao

Musukuma removed Pole Pole

Musukuma removed Makonda

Angela Kairuki: Eeheee wenye viherehere vyao, kwani umeombwa uwaremove?

Nchemba added Makonda

Nchema added Pole pole

Bashe removed Makonda

Ndungai: Waheshimiwa naombeni tusiwe na chuki [emoji174] kiasi hiko tupendane [emoji173] jamani sisi sote ni watanzania.

Halima Mdee: Nakuona tu kubwa la maadui umeanza kuwa na busara siku hizi. Halaf nan anawarudisha hawa maccm? [emoji196]

Nchemba left

Pole pole left

Bwege: Bora wameleft hawa ndo wanasababisha hata bunge la bajeti lisiwe na kiki mjini.

Tulia: Hili grup siliwezi mie naenda zangu hotel [emoji544] kupumzika

Tulia left

Mbowe: Kapumzike tu mama [emoji112][emoji112], hili grup huliwezi kama una roho nyepesi... By the way Halima nakuomba ofisi ya kambi rasmi ya upinzani sasa hivi.

Bashe added Joshua Nassari

Bashe added Mnyika

Bashe added Msigwa

Bashe: Majembe hayo

Ndungai left

Bwege: Spika katoka nduki za Harmorapa

Jenista: yoyoooo hadi mheshimiwa nae kakushoto

Serukamba: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]

Mwakyembe: Hivi wewe Bashe ni chama gani, Mbona hueleweki?

Bashe: CHAUMA

Mbowe: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sugu: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Prof Tibaijuka: Halooo inahuuuuu......

Ummi Mwalimu: [emoji15][emoji15][emoji15] bibi Tiba vepeee mbona haloooo za ki hadija kopa [emoji57][emoji57][emoji57]

Msigwa: Amen Bashe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Ester Bulaya: Bashe siku hizi unawaweza hawa magamba [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Bashe: Halafu nyie ccm msinizoee sana [emoji57] mshanikoroga kwanza ntaenda hata kwenye chama cha mzee Rungwe Spunda [emoji318]

January Makamba: Nenda tu Bashe kwani unadhani huku ndo tunakuhitaji wewe, kwa lipi kubwa ulilonalo? Hizi siasa umezikuta so ziache kama zilivyo.... Si umemuona shangazi yako Sophia Simba

Msigwa: [emoji23][emoji23][emoji23] acha wamzingue tulichukue jembe hilo

Lema: Bashe achana nao hao wakaanga sumu, njoo huku kwenye harakati za kweli

Mwakyembe added Makonda

Nape: Mmmh nini hii tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Makonda added JPM

Mbowe: maaaweee Yesu na Maria [emoji24][emoji24][emoji24]

Mbowe left

Nassari left

Lema left

Tundu Lissu left

Halima mdee left

Ester Bulaya left

Msigwa left

Makonda: Duh!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Bashe: *Utashanga sana mwaka huu na bado* [emoji57][emoji57][emoji57]

Bashe left

Jenista left

Kigwangala left

Serukamba left

Bwege left

JPM: Mbona mnaleft waheshimiwa

Nape left

Makonda: Hawa ndo wanaozuia tusifikie uchumi wa viwanda.

JPM: Hivi ule mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi [emoji539][emoji548] kule kinondoni unaendeleaje?

Makonda: Mkandarasi [emoji62][emoji62]‍♀ ameshaanza kazi, tunasubiri mwezi ujao tukakague kujua maendeleo.

JPM: Safi sana, mie napenda watu wanaopiga kazi sio hao wapiga kelele wauza madawa na wataondoka wote mie ni dereva nisiesikia kelele za abiria

Musukuma left

You: *Nilisahau vyeti vyangu kwenye viunga vya bunge kuna alieviona?*

Mwakyembe left

JPM: Huyu ni nani anaeulizia vyeti humu?

Makonda removed you
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba iwe ya series iendelee puliziiiii umenivunja mbavu mno
 
Wanawake bana
Utasikia wanasema nataka mwanaume ambaye atanilinda na kunijali, halafu akitongozwa na mlinzi anakataa [emoji121] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ni muda wa saa 8 usiku chumbani kwa dereva bodaboda naskia kelele, kwenda kujua kulikoni nikamkuta dereva wa bodaboda analalamika kuwa nyumba ina mashetani, ikabidi nimuulize yule dereva wa bodaboda amejuaje kuwa kuna mashetani, ndipo akaniambia kuwa alikwenda kuoga lakini cha ajabu maji hayafiki mwilini, kumcheki kichwani kumbe amesahau kuvua helmet[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Bangi [emoji377] [emoji377] na njaa kweli haviendani[emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]
 
Baba katoka kuoga kapita sebuleni taulo likamdondoka, wakati kuna mwanawe wa kiume wa miaka kumi, baba kwa hamaki akamwambia mwanawe "Fumba macho!" mtoto akajibu sitaki, baba akauliza "kwa nini hutaki!" mtoto akajibu "natizama maandazi na uji"
[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121] [emoji121] [emoji121]
Maandazi=mambupu
Uji=dushe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
 
Niliingia kwenye choo cha uma mahali fulani, wakati naendelea na kukata gogo, nikasikia sauti kwenye choo cha jirani yangu akisema " halo, mambo vipi", kwa sauti ya kukereka nikajibu "niko poa" naye akaendelea kuongea "unafanya nini? Nikajibu "nafanya kile unachokifanya wewe", akaendelea "naweza kuja hapo", kwa hasira nikajibu "hapana, usije nipo bize sana kwa sasa" sauti hiyo ya choo cha jirani yangu ikasema "mshikaji ee nitakupigia baadaye, kuna mpuuzi mmoja mlango unaofuata anajibu maswali yangu yote, hatuelewani,,,,, hapo ndipo utakapojua kiherehere maana yake nini
 
*Mume amempigia simu mtalaka wake ataka warudiane*

Mume : Nisamehe naomba turudiane
Mke : Una kikombe hapo?
Mume : No! Kwanini?
Mke : Kachukue kikombe jikoni
Mume : Sawa nishaenda chakua, Sema...
Mke : Kibwage kuanzia juu mpaka chini...
Mume : Eeh! Haya tayari
Mke : Kimevunjika sio!!... Sasa kirudishe kilivokua...
Mume : No, hakijavunjika, nilichukua cha plastic...
Mke : Muone vile!!!.. wewe mwanaume mkorofi sana, haya njoo unichukue[emoji28][emoji28][emoji28]

MAKOFI KWETU WANAUME POPOTE TULIPO[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Sasa Hivi Hata Yale Magari Ya Kuvuta Mavi Wanalia Njaa, Wanasema Biashara Ngumu.
Na Ukiangalia Ni Kweli Kwa Sababu Mtu Anakula Chips Kavu Na Soda; Ni Lini Choo Kitajaa?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
d9aad36672179195fe312a24d12ccce2.jpg
 
Rafik angu kachora tatoo ya jina la dem wake juzi... leo kaskia dem wake anaolewa nipo nae apa tunasubiri pasi ipate moto...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] watu kweli wana maneno
 
Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] leo navunjika mbavuuu
 
Kuna watu wana mambo ya ajabu sana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamaa kachora tatoo ya kwenye dushe, likisinyaa inasomeka AIDS, dushe likinyanyuka inasomeka ADIDAS[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli [emoji377] [emoji377] mbaya
 
Back
Top Bottom