Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Wanawake bwana[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wakiwa wazuri wa sura basi wataringa[emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watajiona wanavutia Wanasahau kuwa hata Nyani na Ngedere Hawaringi na wanavutia Watalii
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]
 
Wanawake bwana[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wakiwa wazuri wa sura basi wataringa[emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watajiona wanavutia Wanasahau kuwa hata Nyani na Ngedere Hawaringi na wanavutia Watalii
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
8e6ef45796dff870c4005fbf4fe368d7.jpg
 
Leo mchana Nilikuwa naangalia *DONALD TRUMP*
akihojiwa na Dermot murnaghan wa
```SKY NEWS``` kuhusu kupambana na
uchawi Africa anasema ataanza na
*SUMBAWANGA* sasa alivoitamka sumbawanga aisee Eti *"SIMBAYANGA"* mpaka nikastuka
maana nikikumbuka lile goli la kichuya siku ile
taifa...!!
 
Nilikuwa nimekaa kwenye ukumbi wa sinema
, mbele yangu kulikuwa na binti wa kike nà
kijana wa kiume wakiwa wamepakatana,
nilipigwa na butwaa yule binti alipoamua
kupandisha blauz yake juu na ghafla yule
kijana akaanza kunyonya taratiibu kana kwamba hamna watu wanaowaona , cha
kushangaza zaidi yule binti alikuwa wa miaka 25 na kijana ana miezi 3...!!!
 
Back
Top Bottom